Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tunawaombea kwa Mungu muingie CL,then round ya kwanza mtoano tucheze na ww maana unajua ni ushindi wa bwerere!Hata Simon Msuva huyu awe Liverpool chini ya Klopp acheze na Man U atatupia hapo hapo OT
Asante sana. Kwa kutubahatisha mechi moja unafikiri itakuwa zote au. Wewe jidanganye tu
 
Tunawaombea kwa Mungu muingie CL,then round ya kwanza mtoano tucheze na ww maana unajua ni ushindi wa bwerere!Hata Simon Msuva huyu awe Liverpool chini ya Klopp acheze na Man U atatupia hapo hapo OT
Unamaanisha sai msuva huyu wa yanga??hahaha
 
Dada yangu njoo huku ili May 18 tufurahie ubingwa wetu pamoja pale Mliman City!Njoo kwenye team inayoshinda vikombe,ondoka huko utakufa siku si zako
Hats sisi tunachukua FA......Sevilla siyo mdogo kaka yangu mjipange kweli kweli.....mie sina hiyana nitakuja kukushangilia
 
Roberto Firmino v Philippe Coutinho in the Premier League...

0826996757bd4a4c68754e5c83434651.jpg
 
Enrique leaves Liverpool after 99 appearances.
Playstation zitakosa mchezaji jamaa katemwa, Refa Millionea ndio kapewa game ya Liverpoolfc vs Seville huyo Refa ana Historia ya kuzitosa card za Yellow na Red timu za EPL, Manuel Pelegrini alikasirika naye pia Rafael Benitez wakati wa LFC pia Arsene Wenger alimlasirikia huyo Refa. sie tuachane na Refa mashuti ya mbali tu mpira ndani ya Nyavu yaishe. Refa tumuache afanye kazi yake.
 
hii timu inabid ipelekwe makumbusho yani toka wote humu ndani muanze shabikia mpira hamjawai iona Liverfool ikitwaa japo mara 1 kombe la ligi kuu

#YWNWA
 
Updates:

Pedro atalazimika kucheza akiwa na protective mask leo - kama akipangwa - kutokana na ajali aliyoipata akiwa nyumbani kwake.

8e692ced37e9d4e13c11e564cae3af7b.jpg
 
Updates:

Diego Costa hatocheza kutokana na maumivu ya mguu

Branislav Ivanovic naye hatocheza kutokana na maumivu kwenye nyonga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom