Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hizi kosa kosa zao niaje tena!
Tutake bima mapema vijana. Mguu kwa mguu mpaka fainali hii.
YNWA
 
Half time,bila bila.
Bado tunafanya mpango wa kukata bima ili itufae nyumbani kwetu.
YNWA
 
Hapa tunahitaji mshambuliaji hapa mbele wa kusukumana na hizi beki za Villarreal na pamoja na kucheza hizi kros zinazopotea bure.

Sturridge yupo benchi,lakini simfagilii sana siku hizi tangu bwana origi alipojua goli liko wapi.
Ila ndio tushakuwa simba tuliokosa nyama,hata nyasi tule tu ili tumbo liwe zito.
YNWA.
 
Dah hii Game tunamkosa Emre Can ila LFC hii game hata tukifungwa naamini Home ushindi utakuwepo tu ila hii Game kati middle hawasukumi vizuri na Striker hakuna hii Game Benteke angecheza au Sturidge aingie ila bado sijui wakutoka maybe Lallana au Firminho.
 
timu inabahati mbaya hii Coutinho out dah sijui muda gani naye agh! kila kitu kinaenda kushoto, Emre Can, Origi mara Sakho lile mara Ings 6-8million.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom