MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
lol, ingekuwa balaa Aisee...hahahahaTeam ziwe na referendum of which players the fans want hahaha
lol, ingekuwa balaa Aisee...hahahahaTeam ziwe na referendum of which players the fans want hahaha
True kama period hii we need him more than ever...wote yeye na sturridgeKlopp aliamua kumchezesha kama false #9 kipind kile wakat DS yupo out injured na baada ya kuona Benteke haendani na mfumo wake, And kipind kile alikuwa bado hajaanza kumuamini Origi, alikuwa anampa dakika za mwisho..
but kwasasa itabidi Bobby aanze kuzoea kucheza eneo lake la zamani (Nyuma ya ST)..
tatizo lake ni kwamba huwa inamchukua muda sana kurudi kwenye form akitoka majeruhi..he needs to step up Aisee..
Yeah, sana tu Aisee, they need to step up man...True kama period hii we need him more than ever...wote yeye na sturridge
ishapita hiyo kitambo...Hii ishu ya Michael Owen kuwa ambassador imeendaje, bado ipo au washa disqualify him?
Dah a disgrace...hahaha but I get u, mi hata nikiona Owen yupo kwenye panel anaongelea Liverpool stuff usually najisahaulisha alikuaga one of us, totally ignore himishapita hiyo kitambo...
hiyo ndo club yetu man...sema ndo hivyo vitu kama hivyo unaamua kuvi-ignore tu.
niliamua kui-ignore hiyo ishu...
I
Achana nae, haifai hata kumuongelea hapa...he'a just a clown..hana ishu.Dah a disgrace...hahaha but I get u, mi hata nikiona Owen yupo kwenye panel anaongelea Liverpool stuff usually najisahaulisha alikuaga one of us, totally ignore him
I think Klopp will have to go with this squad ili tupate matokeo mazuri ugenini na nyumbani.aliumia kwenye ile game ya Dortmund (Anfield)..ni tatizo la ankle (kama la Origi, but kwake haikuwa serious sana)..
Game mbili zote za V'real atazikosa..
your team?? mak89
Spot on Aisee..I think Klopp will have to go with this squad ili tupate matokeo mazuri ugenini na nyumbani.
Mignolet
Clyne kolo toure lovren moreno
Allen Lucas
Coutinho
Lallana sturridge milner
Kwa formation hapo juu tunaweza fanya nayo vizuri kwa game kama hizi za wa spain Allen atafanya vizuri hapa hakuna kutumia minguvu mingi
Unajua kwanini tuna muhitaji sana lucas kwenye midfield kwasababu Allen anakata upepo mapema atacheza vizuri 45 minutes ila the other 45 minutes atakuwa awful kwenye dk ya 60 unaweza mtoa Allen akaingia firmino, milner akashuka chini.Spot on Aisee..
Great team..
We have to trust Kolo, Lovren na Migs, perfomance yao ndo itaamua game ya Alhamis...
Lucas angecover vizuri sana at the back..but tunamuhitaji sana pale katikati..
i think Klopp ataanza na hiyo team..
Concern yangu ni back-line yetu Aisee..
Title za columns please eddy?
Heading hazionekani, but let me help Ed kuiweka sawa..
Hapo kuna majina ya keepers na team zao wanazochezea..
Then inayofata ni idadi ya mashuti waliyopigiwa golini (shots on goal), inayofata baada ya hapo ni idadi ya magoli walifungwa kulingana na mashuti waliyopigiwa golini (goal conceded), then ya mwisho ni wastani wa mashuti kwa kila goal (Average shots per goal)..
so kifupi hapo kuna:
1. shots on goal
2. Goal conceded
3. Average shots per goal..
Mignolet kapigiwa mashuti 98 golini na KURUHUSU magoal 39..tofauti na kina De Gea ambao wamepigiwa mashuti mengi lakin wameruhusu magoal machache kuliko Migs..
Migs kapigiwa mashuti machache lakini karuhusu goals nyingi.
Sijui wanaka-beef ila naona Kolo anajitahidi kum-back sakhoLol, Ed naona Pearce kamuamulia Sakho Aisee, inaelekea alikuwa anasubiria moment kama hii itokee, yaani mpaka saga hii inaisha tutasoma articles kibao kutoka kwa Pearce...
Kolo hakwepeki kuanza naona hata yeye anajipa promo kuwa yuko fiti na kwakua klopp anamuamini hakuna namna atakuwepo at the backand kolo at the back??
ningependa kuona Lucas anaanza nyuma na Lovren..Kolo na Lovren siyo partnership nzuri..
but, tunamuhitaji pia Lucas katikati pale..
ngoja tuone Klopp ana kipi kwenye mind yake..naexpect a very interesting team..
Migs is worse than Dracula - Bruce Grobbelaar:2014Hahaahaha mignolet inawezekana atakua kama dudek anaweza ingia hall of fame cause this European final if we get there hahahaha
Skrtel tangu auze timu gem ya southampton watu hawana imani nae tena.Na hiyo ilikuwa ni baada ya kupewa red card akiwa na timu ya U21 ambapo alikuwa anagain fitness.Sidhani kama Klop rate him kabisa kutokana na makosa mfululizo anayoyafanya.Na hizi mechi za mtoano ni very technical.One mistake one goal,si ulicheki 2nd leg na dortmund makosa yalivyozaa magoli?So to me better Kolo than Skrtel at this moment.Guys Kolo Toure aanze wakati Skirtel yupo fiti kabisa..
You must be kidding.
Hiyo imani yenu kwa Kolo Toure imetoka wapi wakati huwa anatuchomesha sana.
I expect Klopp kuwa na kikosi hiki;
Mignolet,Clyne,Moreno,Lovren,
Skirtel, Lucas,Milner,Allen,Sturidge,
Firminho and Coutinho.
Subs; Lalana,Ibe,Stewart,Toure etc