Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ings is two weeks away kurudi katika Full-training, Emre Can pia is highly likely kurudi kabla ya mwisho wa Msimu..

nimeona Firmino alivyocheza leo, Moyo umevunjika sana, kacheza hovyo sana, and at some point, he wasnt even arsed yaani..sasa sijui itakuwaje hiyo Alhamis..manake unategemea top players wako wawe kwenye good form ili kuifanya game iwe nyepesi..

hili suala la Sakho nalo ni balaa, manake statement ya UEFA inasema at this stage bado kutoa adhabu..so it means wanasubilia B sample, kitu ambacho ni lazima LFC watakifanya, hope results zitatoka baada ya game ya Alhamis..Sakho has to start hiyo Alhamis..ni muhimu sana..

V'rael are OK team, but i can see we're running OUT of players..game NYEPESI inaanza kuonekana NGUMU..



Kama Sakho wont make it, i'd start LUCAS at the back, but nani ataanza kwenye midfield THREE?? Allen, Millie, (?)..Klopp has Never played Coutinho kwenye 8, its so frasturating man..Sidhan kama Brannagan hii game itamfaa and Stewart isnt eligble kucheza Europa..its so frasturating man...Skrtel hatakiwi kabisa kuanza..LUCAS anacheza vizuri at the back kuliko Skrtel..but at the same time tunamuhitaji Lucas katikati..


And Form ya Bobby inaniumiza, coz ni mchezaji muhimu sana kwa sasa..Form yake ni muhimu sana kwa games kama hizi..




Tangu ile game ya Everton, simuoni Klopp akiwa na furaha kabisa..
 
Kama results za Sakho zitatoka baada ya game ya alhamisi basi ni wazi kuwa hatocheza hiyo game.Uamuzi wao kuwa asicheze mpaka suala lake litakapoamliwa unaicost club though inawezekana wamefanya hivyo ili kuionyesha uefa kuwa wapo nao bega kwa bega kwenye hiyo anti doping campaign.
 
Hilo la Stewart kuwa hayupo eligible kwa uefa aisee linaathiri sana.Tutegemee tu Kolo kucheza na Lovren kama leo.Alafu Lucas acheze position yake nyuma ya Allen na Milner.Ni bora Kolo kuliko Skrtel.
 
Mpangilio wowote ule kwa sasa ni lazima ulete timu dhaifu ukilinganisha na kama tuna wachezaji wetu wote
 
Ings is two weeks away kurudi katika Full-training, Emre Can pia is highly likely kurudi kabla ya mwisho wa Msimu..

Ila inawezekana wasicheze game yoyote

nimeona Firmino alivyocheza leo, Moyo umevunjika sana, kacheza hovyo sana, and at some point, he wasnt even arsed yaani..sasa sijui itakuwaje hiyo Alhamis..manake unategemea top players wako wawe kwenye good form ili kuifanya game iwe nyepesi.. And Form ya Bobby inaniumiza, coz ni mchezaji muhimu sana kwa sasa..Form yake ni muhimu sana kwa games kama hizi..

kweli Bobby sijui amekuaje ila i bet ata-score against villarreal

V'rael are OK team, but i can see we're running OUT of players..game NYEPESI inaanza kuonekana NGUMU..

mkuu hii game haina shida tunashinda bila utata



Kama Sakho wont make it, i'd start LUCAS at the back, but nani ataanza kwenye midfield THREE?? Allen, Millie, (?)..Klopp has Never played Coutinho kwenye 8, its so frasturating man..Sidhan kama Brannagan hii game itamfaa and Stewart isnt eligble kucheza Europa..its so frasturating man...Skrtel hatakiwi kabisa kuanza..LUCAS anacheza vizuri at the back kuliko Skrtel..but at the same time tunamuhitaji Lucas katikati.

Hivi Branno europa anaweza play? if yes
.... klopp must let him do
 
Ila inawezekana wasicheze game yoyote



kweli Bobby sijui amekuaje ila i bet ata-score against villarreal



mkuu hii game haina shida tunashinda bila utata





Hivi Branno europa anaweza play? if yes
.... klopp must let him do
Brannagan, Pedro, Rossiter are aĺl eligble to play kwenye europa league..

Sakho kama hatakuwepo, ni Huge blow man..
 
Kile Migs alichofanya mpaka sasa ukilinganisha na wengine

Walio juu yetu

//uploads.tapatalk-cdn.com/20160424/958131cf6cca60fed6737b034a0c8f9c.jpg[/ IMG]

Walio chini yetu

[IMG]//uploads.tapatalk-cdn.com/20160424/b01d21d07930d700ffa581985fad7ee0.jpg
 
Kile Migs alichofanya mpaka sasa ukilinganisha na wengine

Walio juu yetu

//uploads.tapatalk-cdn.com/20160424/958131cf6cca60fed6737b034a0c8f9c.jpg[/

Walio chini yetu

IMG][IMG]//uploads.tapatalk-cdn.com/20160424/b01d21d07930d700ffa581985fad7ee0.jpg
kama tunataka kuwa serious contenders (titles) next season, binning Mignolet must be a priority
 
Title ya hizi heading? Au mi kwangu tu ndo hazionekani?
Heading hazionekani, but let me help Ed kuiweka sawa..


Hapo kuna majina ya keepers na team zao wanazochezea..

Then inayofata ni idadi ya mashuti waliyopigiwa golini (shots on goal), inayofata baada ya hapo ni idadi ya magoli walifungwa kulingana na mashuti waliyopigiwa golini (goal conceded), then ya mwisho ni wastani wa mashuti kwa kila goal (Average shots per goal)..


so kifupi hapo kuna:
1. shots on goal
2. Goal conceded
3. Average shots per goal..

Mignolet kapigiwa mashuti 98 golini na KURUHUSU magoal 39..tofauti na kina De Gea ambao wamepigiwa mashuti mengi lakin wameruhusu magoal machache kuliko Migs..

Migs kapigiwa mashuti machache lakini karuhusu goals nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom