Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,854
Leo wananikosha sana..Liver 1
Mhudumu niongezee
Mhudumu niongezee
Huyo mspain ni shida, rafu za spain kuwa awarded yellow ni tofauti na englandRefa huyu anagawa kadi kama njugu. Kwenye mechi zake 10 za mwisho alizochezesha amegawa kadi za njano 63 na red card 6. Leo hapa naona kuna hatari atamlima mtu red. I hope haitaangukia kwetu
Ni shida huyu. First half tu kashagawa kadi za njano 4Huyo mspain ni shida, rafu za spain kuwa awarded yellow ni tofauti na england
Next tunaenda kuwa malizia kwaoAhsanteni kwa kuja....thanks for coming ..coming at Anfield.
Hawa tushawaweka benchi.Next tunaenda kuwa malizia kwao
Asante...... safari yenu imeishia hapaHongereni watani...leo mmetuweza...lakini angalieni vichwa visiwajae mkidhani kazi imeisha, oh!
Sawa bana...mimi leo mpole...nangojea marudio tu...kumbuka ni mpira huo...Asante...... safari yenu imeishia hapa
Ni kweli hasa kwa mtu Kama hendo na mignolet ILA Leo nimefurahi tumewatumbua kwenu goli mwanzo muhimu.Hongereni watani...leo mmetuweza...lakini angalieni vichwa visiwajae mkidhani kazi imeisha, oh!
Sawa mkuu tuombe uzima tuSawa bana...mimi leo mpole...nangojea marudio tu...kumbuka ni mpira huo...
Kwetu? Chifu, ilikuwa Anfield...Ni kweli hasa kwa mtu Kama hendo na mignolet ILA Leo nimefurahi tumewatumbua kwenu goli mwanzo muhimu.
Hongereni watani...leo mmetuweza...lakini angalieni vichwa visiwajae mkidhani kazi imeisha, oh!
Afadhali umemwambia ukweli...Kuna kawimbo kanaendaga hivi...
"..mtu mzima huwa sitishiwi nyau, nitakupiga mpaka home kwenu wakusahau..."
Baada ya kusema hayo nikujibu tu, kazi imeisha usitishe watu!!!