Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1457676373446.jpg
Mkuu MosDef, leo hakuwepo ndugu yako Milner the played well. Leo show ilikuwa inaendeshwa na watu wa3 wa mbele coutinho, lallana na firmino. Sturridge tofauti na goli na kukosa chances basi hakuonekana akitoa mchango wa maana kwa timu.

Mechi ya marudiano itatakuwa ni vizuri Origi aanze mbele ya sturridge dogo anaonyesha ile tamaa ya kuforce ushindi au kuwatia pressure opponents
Na sakho alicheza vizuri,
Mkuu MosDef, leo hakuwepo ndugu yako Milner the played well. Leo show ilikuwa inaendeshwa na watu wa3 wa mbele coutinho, lallana na firmino. Sturridge tofauti na goli na kukosa chances basi hakuonekana akitoa mchango wa maana kwa timu.

Mechi ya marudiano itatakuwa ni vizuri Origi aanze mbele ya sturridge dogo anaonyesha ile tamaa ya kuforce ushindi au kuwatia pressure opponents
 
Fainali na BVB itakuwa nzuri sana,lkn Liverpool ina UKUTA mzuri sana kwa sasa!!Tunaweza lichukua hili kombe
 
Nimeangalia replay bila kuwa na pressure!De Gea aki enda Madrid kwa kweli itakua aibu kwa Man U

Kama sio De Gea hadi halftime ingekiwa 5-0
Wakat mwingine usijisifu unajua kukimbia bali msifu na anayekukimbiza NAMAANISHA unatakiwa ujiulize hao waliokuwa wanampigia mashuti ni type ya benteke SIO world class player hvo ni hak yake kuwa man of the match upande wa man u
 
Hongereni watani...leo mmetuweza...lakini angalieni vichwa visiwajae mkidhani kazi imeisha, oh!
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom