MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
baada ya kushindwana na Remy, Barret akasema jamaa alikuwa kaandaliwa jersey number 7, lol tukashukuru Mungu lile janga la Robbie keane halitojirudia...hahah msimu uliofata Milner akalamba jersey number 7, hahahahahaha, jersey iliyovaliwa na kina Keegan, Daglish, Liddell, McManaman, Diaz, ikaishia mikononi mwa JAMIEE MILNER....hahahha..
