Nilikuwa nimekasirika why Dk 5 kumbe tuliandikiwa sie tehtehteh ingekuwa dk 90+3 ingekuwa story nyengine inauzi kuruhusu magoli ILA bora pia timu kupata Moto WA kufunga magoli Na kushinda Game tusidanganye 3-1 timu yoyote EPL Ni Game Over so Liverpoolfc baada 3-1 Klopp alivyokasirika Na timu ikaamka sababu imejijua Ni Aibu wanafanya.... Klopp kwenye Interview kaja bila Miwani ILA Klopp anasema haya yakufungwa kona Na Cross atayafanyia kazi sababu Ni Crazy Na Rubbish.