Alikuwepo na tisha-toto kisa kuongea ukweli walimshambulia hadi leo kapotea.Katika mashabiki wa Liverpool wewe ndio nakuona huwa unaongea ukweli kuhusu team yenu...sio wengine kusema ukweli kuhusu team yai hawapendi Kama kina miss flani!

sawa mkuu..Ila tulipiga mpira mkubwa kuwazidi...ni Bahati tu mkapata goal....Lakini bado kiasi kitaendelea tu....I will never support manyau team....despite what..Poleni sana............... Work done tuonane msimu ujao.
Januari Klopp hawezi wachezaji anaowataka, nina imani muda wa summer atasaini angalau wachezaji wake! Ni kocha mzuri.KLOPP asijione km yy ni YESU kwamba anaweza kufanya maajabu na wachezaji km hawa never.......aache ubishi USAJILI lzm leo tar 18 bado cku 13 tu km hatosajili watu hapa hawezi fika popotee
Jogoo mdondo kaliwa supu na shetani.tumewanyonyoa hahahhahahhahhhahhhhahhahahhahahhah poleni sana
tumewanyonyoa wabebaki kama mitetea ha ha haJogoo mdondo kaliwa supu na shetani.
Mechi ya kwanza walipigwa 3 nguvu ya kutamka hayo wanaitoa wapi msimu huu wameachia alama zote 6 na mabao 4.Timu ilikubali kufungwa na nyie ni Chelsea na Man City sio United
Hahaaaaa mkuu mwaka huu ndiyo mwisho maana msimu ujao hatutakua na ma-technician players tenaNdo mpira huo. Msimu wa pili nakufunga nje ndani.
Pumzika
Of course we just have stupid finishing but still kuna miracle inside the gameSiyo miracles mtakosaje goli zote zile kizembe halafu tufungwe ionekane miracle we squandered clear opportunities
Usiseme hivyo aisee. Tuombe uzima tu huo msimu ujao tuwepo pia.Hahaaaaa mkuu mwaka huu ndiyo mwisho maana msimu ujao hatutakua na ma-technician players tena
Tafadhali msagasumu siku hizi uwe unapita kimya kimyatumewanyonyoa hahahhahahhahhhahhhhahhahahhahahhah poleni sana
Pole sana mkuu...... kama bahati basi ni mbaya safari zote tunakupiga tu...sawa mkuu..Ila tulipiga mpira mkubwa kuwazidi...ni Bahati tu mkapata goal....Lakini bado kiasi kitaendelea tu....I will never support manyau team....despite what..
Kinacho niuma ni kwamba dogo bado ni academy player at the age of 23 alitakiwa awe starter au squad player yaan kumpa nafasi Lallana ni bora apewe Texeira tu maana lallana ana mambo mengi at last anashindwa ku-deliverHappy 23rd birthday Texeira![]()
KLOPP asijione km yy ni YESU kwamba anaweza kufanya maajabu na wachezaji km hawa never.......aache ubishi USAJILI lzm leo tar 18 bado cku 13 tu km hatosajili watu hapa hawezi fika popotee
hawa Yankees football is not their "thing", kwa yale aliyosema BR we are far behind to be a top team lets hope watachange they chose Balitelli over Sanchezlol, umeiona/umeisoma interview ya Rodgers??? your thoughts?
hahaha, telling Rodgers to turn Balotelli into a £50m striker...hawa Yankees football is not their "thing", kwa yale aliyosema BR we are far behind to be a top team lets hope watachange they chose Balitelli over Sanchez