Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ligi imekosa mvuto kabisa siku hizi. Yaani Liverpool vs Manchester United kama unaangalia mechi ya kombe la mbuzi mwananyamala. Nikikumbuka Enzi za kina Paul Ince na Gascoine Gazza natamani Julia.
 
_87757213_1fellaini_manchester_united_getty.jpg


263c66bf-fd01-48b0-953b-eb62b297ec3b.jpg



7ac88873-bc25-48ad-b4c1-9a388daf51bc.jpg

Mpira sio vita .... .... .....
 
Tutajutia nafasi Leo, Lallana hivi anafanya nn kwenye timu sioni anachovheza zaidi ya mdomo wake Na Media sema Lucas kaharibu nafasi ya Emre Can bora katikati. Hii game wing angecheza dogo Ojo! Nafasi tunazipaisha dah.
 
Game haina mvuto kote Boring LFC wanatakiwa angalau kipa adake ngoja Wao wamjaribu Mignolet then hadithi ya malalamiko kwa Kipa wetu yataanza I hope iwe kwao.
 
Tutajutia nafasi Leo, Lallana hivi anafanya nn kwenye timu sioni anachovheza zaidi ya mdomo wake Na Media sema Lucas kaharibu nafasi ya Emre Can bora katikati. Hii game wing angecheza dogo Ojo! Nafasi tunazipaisha dah.
Lalana lile goli la kichwa halikuwa la kukosa. Ilikuwa ni kuubetuwa tu mpira kwa juu maana kipa alikwisha toka golini. Mchecheto.
 
Duh hii game inauma sana.
Klopp inabidi awe anafanya maamuzi kwa mda unaotakiwa, kwanini hakufanya hii sub dakika kati ya dakika 60 mpaka 70?
 
Kama kawaida yenu mnacheza vizuri mnashindwa kushinda.
Inauma Sana dah! Sina mengi zaidi niwape Hongera Man U dah Leo beki zimecheza inavyotakiwa mpaka pale watu wa4 kukaba mtu mmoja Na Rooney kachwa peke yake ILA hii Game hata Draw ningeona tumefungwa. Lallana nini niongelee kuhusu huyu jamaa bora nikae kimya.
 
hapa ndo ninapo iponda liva mnacheza mpira wote nyinyi mwisho mnatoa points 3 hivi hivi kwa uzembe wa beki zenu sijui huyu toure mnamn'gan'gania kitu gani bora sakho anacheza mpira kwa kujituma mmepoteza nafasi nyingi poleni wana liva woote jipangeni msimu ujao
 
Hakuna kosa zaidi ya Mmoja Tu Leo pale nyuma Na sio kolo Toure basi Kolo Leo ndio kacheza vizuri Na Sakho tatizo ilikuwa Ibe kutoruhusu waanziane kwenye Kona Kama mnatizama mpira Na Hendo kuondoka Na Fellaini Na Si Sakho kila kitu nilikuwa fine kasoro Lallana Tu sababu yagoli Si mabeki Goli limetokea makosa madogo ya Dogo Ibe Na Captain. Baadae nitaingelea kuhusu Striker Na kwanini LFC imekosa Striker au ingetakiwa kuwa NA Striker WA muda Kama Man u Na Rooney japo wanamkandia ILA Rooney sio Mara moja kuokoa United.
 
manyau fc....nawachukia sana hawa jamaa

Kesho mtakuja kuniambia humu...hao Manyau utd. Watakula zao tatu saafi..wanaoiga kelele sana kama mabata asee.

Tungekuwa tunacheza na Soutampton or Stoke city or Crystal palace ningefikiria, ila si Manchester. Easy game.

MNAKUFA 2-0 LEO ANFIELD

Huyu Lallana kawa msemaji wa timu? Ananiuzi Mie mpira hachezi kazi kuongea kila akiongea na media ndio siku tunafungwa na anafanya u tumbo akae Kimya ila Kesho Manua Manua watamanua mara 3 ni 3-1 home.
Poleni sana............... Work done tuonane msimu ujao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom