wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,357
Maoni yangu Ibe anahitaj loan ya miaka 10.arudi when he is 30Kama JK atafanikiwa kumbadilisha Ibe, jamaa atakuwa a very integral part ya timu. Nguvu na kasi anayo, akili ya nini cha kufanya na kufanya maamuzi ya haraka ndio anakosa.
Too predictable..