Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1225_1674418622598347_4929560382785168462_n.jpg

Kumbe kwa JK zilikua 3-0???????
 
Tetesi nasikia Jurgen Klopp ametoa siri ya mipango yake katika kukijenga kikosi chake ili kiwe tishio pale England na hata la ulaya kwa ujumla..
Akiwa mwenye hasira baada ya mechi ya juzi Klopp alisema.. Nina Tatizo la goli kipa mabeki wawili wa kati kiungo mshambuliaji makini yani #8 na straika mwenye speed mwenye uwezo wa kuwasumbua mabeki dakika zote tisini za mchezo..
Wachambuzi wa soka barani Ulaya wanadhani kwa aina ya mpira anaofundisha Jürgen wachezaji Simon Mignolet, Adam Bogdan, Martin skrtel, Adam Lallana, Joe Allen na Christian Benteke wanaweza kua kwenye outbox mwishoni kwa msimu huu. Kwa namna Klopp anavochukia kupoteza points angeweza kuitumia transfer window hii ya January kupata mbadala wa wachezaji waliotajwa hapo juu.
Lakini hadi sasa Klopp bado hajataja wachezaji anaotaka kuwasajili, nadhani Tusubiri Kuona na kusikia kutoka kwa Klopp..
Hizi ni habari njema kwetu guys kama zitakua za ukweli
 
wiki ijayo kwa hesabu langu la haraka haraka nawaona mkishuka hadi nafasi 10. mjitahidi tu mshinde mana arse888 kukaa pale juu huku mtaani hatukai kwa rahaa.

Hahaaa hatuwezi kwenda huko

Mkuu sina tatizo na hizi 5 games zijazo hapo tunatoka na pointi si chini ya 10
 
Wadau naombeni transfer news za Liverpool. Hata Kama za uongo ilimradi zinifariji hivyo hivyo
 
no
Wadau naombeni transfer news za Liverpool. Hata Kama za uongo ilimradi zinifariji hivyo hivyo
- Marko Grujic's annoucement inaweza ikawa leo, English press claiming he'll re-join club yake ya serbia mpaka mwisho wa msimu while serbia press claiming he'll NOT return to serbia, nipo njia panda, but nimeamua kidogo niwe upande wa English press

- Expecting kumpa mkataba wa awali Matip hii january.

-Been linked with numerous GKs with Ter stegen news hotting up kila siku, pia kuna Leno, Karius, Muslera, Horn na Mandanda BUT klopp has ruled out signing yoyote inayohusiana na GK window hii, but lets wait and See..Hearing Barca wants £20m for Ter Stegen (According to "Mirror" though"

- Linked with Vfb stuttgart winger "Kostic" and Schalke 04 winger Sane ambaye nadhan Man city ni front runner, cant see Klopp paying £30m+ for him

- Mino (Balotelli's agents) anasema jamaa anataka kuvunja loan spell yake at Ac Milan ili kurudi LFC, reports zinasema bado hawajaongea na Klopp, though Klopp alikuwa Coy kuhusu hilo suala kwenye presser yake ya Capital one cup.

-Signed under 16 GK

-Linked with Aubameyang, cant see Dortmund letting him go hii january though.

- Gundogan as a major summer signing, still hotting up,

-Linked with Bender

-Allan de Souza anatoka kwa mkopo

-Ryan Kent karudishwa Anfield

-Bascombe Saying Klopp kapewa £20m tu ya usajili this window.

- Lazar Markovic wants a permanent deal at Fenner, kwa maana nyingine he does not wish to return pale Anfield, He was quoted saying yeye mwenyewe ndo aliforce move ya Fenner and not LFC, Pia Fenner nao wanataka kumnunua moja kwa moja,

-Linked with Pjanic (been shit lately though)

-Linked with Pato

-Linked with Dembele wa Fulham

-And...we've been hugely Linked with Toni Kroos


BUT, PAUL JOYCE SAYING "KAMA KUSIGN PLAYERS TUTASIGN SAAAANA BUT SIYO JANUARY NI SUMMER" so usijipe moyo saana na hii january ndugu, unaweza ukaumia moyo bure. tusubirie tu Suprises.
 
Last edited:
Strange stats, tumepoteza game 1 tu ambayo LALLANA alianza, hahahaha, game zote anazotokea bench tunapotea.
 
Strange stats, tumepoteza game 1 tu ambayo LALLANA alianza, hahahaha, game zote anazotokea bench tunapotea.
hahahhhahahah muingereza wa kujifungia zinaweza kuwa na ukweli unapokuwa Benteke amabye anapoteza mipira easily ni rahisi kuwa attacked tena na hizi timu zinazo cheza counter attack maana wao wakipata mpira toka kwa benteke wanapiga pasi 3 au 4 wapo goli (kumbuka ile moreno aliyookoa upande wa Lovren na yenyewe ilikuwa counter kilichosaidia tu ni pace ya moreno)

Leo tupo na watu wa kucheza "fiziko"Malafyale, stoke nadhani utanweza kuwa na glassyboy na benteke mbele pale na coutinho nyuma yao.

Bora hata tusiende usipate top 4 ila tupate vikombe msimu
 
Mimi nadhani Kama tutakuwa tunautafuta mpira kwa nguvu Kama ck tuliyocheza na Leicester. Sherdan akakaa mfukoni kwa lovren. Tunashinda
 
dah! wanaKops wenzangu mko wapi!?

dk 20' Stoke City 0 - 0 Liverpool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom