Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni kweli mechi ni ngumu lakini ugumu wa mechi huanifanyi niamini kuwa tutafungwa na kinachotufanya tuone mechi ni ngumu ni rekodi ya mpinzani mpaka sasa na rekodi za wachezaji wao walio kwenye kiwango kizuri.

Naamini penye ugumu pana urahisi pia.

Endapo timu itafanya pressing ya hali ya juu na kuwa makini na mashambulizi ya kushitukiza basi pia tunaweza kuwa na mechi nzuri sana.

Endapo kiungo wetu atakaye cheza namba 6 akiwa katika utimamu waka kimwili na kiakili tunaweza kuwamudu hawa jamaa.

Ugumu wa mechi utawekwa pale mbele kwao ambapo ni safu ya ulinzi ya kwetu,kwa nini ni hivyo tunae Sakho ambaye ilionekana match fitness baada ya kutoka majeruhi ilimsumbua,lovren amepona sawa pamoja na kuwa yupo kwenye kiwango kizuri tukumbuke ya sakho alipotoka majeruhi,mignoleti nae katoka majeruhi hivyo hapo nyuma tuna watatu endapo watacheza tuombe wawe fiti asilimia walau tisini nyingine zimaliziwe na namba sita wetu.

Kitu najaribu kujiuliza chemistry ya sakho na lovren sijui itakuaje ila naamini watakua njema.

Tuombe watu wetu watakaoanza kwenye safu ya ushambuliaji wawe vizuri kwenye pressing na umaliziaji kwa maana sasa ile gengpressing imetugeukia tutafanyiwa sisi na kuazibiwa.

Imani yangu inaniambia turning point yetu ni kesho,hakuna mbwembwe tunamkarisha mtu.ynwa😄😄😄
 
Epl ina games 38...cup competition atleast 10 games...so roughly soton waliplay 40 games last season....I never saw toby anacheza...myb he was injured for most part I dnt know..why he played 25 games then?? How come mtu anachez game 25 msim halaf unasema alikua anambeba fonte..

Bob tunazungumzia EPL siyo FA cup wala Capital one, na umeleta suala ya *EPL team of the year*... hapa tunazungumzia mafanikio ya Soton msimu wa 2014/2015 ambapo walimaliza wa 7..Alder akiwepo..na Fonte alichaguliwa kulingana na hiyo perfomance yake ya EPL..

Alder alikuwa na zaid ya games 25, na nmekwambia game yake ya kwanza ilikuwa ni september mwishoni (dhidi ya Newcaster) it means alikuwa hajacheza tangu August..so unategemea atakuwa na games ngap?? + injuries?

Sakho ndo kam-beba Skrtel msimu huu, kakacover errors nying za Skrtel msimu huu, but Huyo Sakho kaanza games ngapi?? nini maana ya kum-beba partner mwenzako?

Msimu huu Yupo na Van Djik ambaye ni mzuri (lakin league inamsumbua kidogo, he's struggling na huwa anashindwa kumcover Vizuri Fonte) na unaona wanavyoruhusu magoal mepesi sahiv, yale magoal ya Kane na Ali dhid ya Soton hukuyaona??? hakuna wa kucover poor postioning ya Fonte sahiv, labda mpaka Van Djik atulie.
 
Soton wamewahi kuwa Top of EPL table lini???? last season muda kama huu (XMASS) Soton walikuwa ni WATANO kwenye Epl Table, kesho yake tarehe 26 (BOXING DAY) Toby Alderweireld alifungia sotom wakat wanacheza na Crystal Palace, na hapo unaniambia Toby hakuwepo???? really?

Toby kacheza games 25+ na soton last season na game yake ya kwanza ilikuwa mwezi wa 9 mwaka ule (2014)..

Labda alimaanisha Top 5,


PositionTeamPWDLGFGAGDPoints
1Chelsea1713313713+2439
2Manchester City1712323614+2239
3Manchester United179533018+1232
4West Ham179442919+1031
5Southampton179262813+1529
6Arsenal177643021+927
7Tottenham178362223-127
8Swansea177462219+325
9Newcastle United176561823-523
10Liverpool176472124-322
11Everton175662727021
12Aston Villa175571121-1020
13Stoke175481823-519
14Sunderland1731041524-919
15West Bromwich Albion174581723-617
16Queens Park Rangers1752102032-1217
17Crystal Palace173681927-815
18Burnley173681226-1415
19Hull172781524-913
20Leicester1724111529-1410
 
Bob tunazungumzia EPL siyo FA cup wala Capital one, na umeleta suala ya *EPL team of the year*... hapa tunazungumzia mafanikio ya Soton msimu wa 2014/2015 ambapo walimaliza wa 7..Alder akiwepo..na Fonte alichaguliwa kulingana na hiyo perfomance yake ya EPL..

Alder alikuwa na zaid ya games 25, na nmekwambia game yake ya kwanza ilikuwa ni september mwishoni (dhidi ya Newcaster) it means alikuwa hajacheza tangu August..so unategemea atakuwa na games ngap?? + injuries?

Sakho ndo kam-beba Skrtel msimu huu, kakacover errors nying za Skrtel msimu huu, but Huyo Sakho kaanza games ngapi?? nini maana ya kum-beba partner mwenzako?

Msimu huu Yupo na Van Djik ambaye ni mzuri (lakin league inamsumbua kidogo, he's struggling na huwa anashindwa kumcover Vizuri Fonte) na unaona wanavyoruhusu magoal mepesi sahiv, yale magoal ya Kane na Ali dhid ya Soton hukuyaona??? hakuna wa kucover poor postioning ya Fonte sahiv, labda mpaka Van Djik atulie.
Lol... that doesnt add up.so basicaly ade kaanza kucheza soton bado soton iko na defence bora maana soton waliwin 7 games mfululizo from end of august to november......hamna concrete proof to prove kua ujio wa toby ndo uliimprove performance ya fonte


Plus umesema sakho anacover makosa ya skrtel..thats true ndomana weng wanamuona sakho is better than skrtel..


Kama toby alikua anambeba fonte kwann toby asingechaguliwa beki bora??? Nijib


Kama lovren alikua anambeba fonte kwa nn liver hambebi skrtel..
 
Lol... that doesnt add up.so basicaly ade kaanza kucheza soton bado soton iko na defence bora maana soton waliwin 7 games mfululizo from end of august to november......hamna concrete proof to prove kua ujio wa toby ndo uliimprove performance ya fonte


Plus umesema sakho anacover makosa ya skrtel..thats true ndomana weng wanamuona sakho is better than skrtel..


Kama toby alikua anambeba fonte kwann toby asingechaguliwa beki bora??? Nijib


Kama lovren alikua anambeba fonte kwa nn liver hambebi skrtel..

Mzee umeanza kuboa Aisee, una Lame Arguments sana..

Game ya kwanza ya Alder ilikuwa ni september 13 dhidi ya Newcastle, it means alikuwa kakosa games 3 tu za league, ile season opener dhidi yetu (tuliwafunga 2-1), West bromwich na WestHam, ambapo katika hizo games walishinda game moja tu dhidi ya Westham, it means wakat Alder anaingia kwenye first team na kuanza dhidi ya Newcastle, Soton walikuwa wameshinda game moja tu na kudraw game ya West brom..dhidi ya LFC (tulishinda 2-1), dhidi ya West brom (0-0), dhidi ya West ham (walishinda), ile game ya Newcastle ambapo ndo ilikuwa game ya kwanza ya Alder pale Soton walishinda bao 4,

so utaniambiaje Ujio wa Alder haukuimarisha backline ya Soton na perfomance ya huyo Fonte? usibishane just for the sake of it..


Kuhusu Lovren tumeliongelea huko kwenye posts za Nyuma, mpaka suala la kwanini aliflop msimu wake wa kwanza LFC (tumeliongelea huko nyuma, lakin unalileta tena)

Then, hiyo argument ya *Team of the year* ni LAME.
 
Mzee umeanza kuboa Aisee, una Lame Arguments sana..

Game ya kwanza ya Alder ilikuwa ni september 13 dhidi ya Newcastle, it means alikuwa kakosa games 3 tu za league, ile season opener dhidi yetu (tuliwafunga 2-1), West bromwich na WestHam, ambapo katika hizo games walishinda game moja tu dhidi ya Westham, it means wakat Alder anaingia kwenye first team na kuanza dhidi ya Newcastle, Soton walikuwa wameshinda game moja tu na kudraw game ya West brom..dhidi ya LFC (tulishinda 2-1), dhidi ya West brom (0-0), dhidi ya West ham (walishinda), ile game ya Newcastle ambapo ndo ilikuwa game ya kwanza ya Alder pale Soton walishinda bao 4,

so utaniambiaje Ujio wa Alder haukuimarisha backline ya Soton na perfomance ya huyo Fonte? usibishane just for the sake of it..


Kuhusu Lovren tumeliongelea huko kwenye posts za Nyuma, mpaka suala la kwanini aliflop msimu wake wa kwanza LFC (tumeliongelea huko nyuma, lakin unalileta tena)

Then, hiyo argument ya *Team of the year* ni LAME.

Nikuache upumzike kop mate nitapitia kesho hoja zote afu ntakujibu vzr usiku mwema mkuu but thanks for chatting
 
Nikuache upumzike kop mate nitapitia kesho hoja zote afu ntakujibu vzr usiku mwema mkuu but thanks for chatting

Lmaaaao, afu kumbe ulikuwa unani-mislead, Fonte alikuwepo kwenye Epl fans team of the Year siyo *EPL TEAM OF THE YEAR* Epl team of the year alikuwepo John Terry na Cahill, Damn..and now i remember Crtics walivyokuwa wanacrticize uwepo wa Cahill over Alder/Kos..and not Fonte.

DAMN. hahahahahaha, wembee ulikuwa unaniingiza chakaaaa! hahahaha!
 
Last edited by a moderator:
Mzee umeanza kuboa Aisee, una Lame Arguments sana..

Game ya kwanza ya Alder ilikuwa ni september 13 dhidi ya Newcastle, it means alikuwa kakosa games 3 tu za league, ile season opener dhidi yetu (tuliwafunga 2-1), West bromwich na WestHam, ambapo katika hizo games walishinda game moja tu dhidi ya Westham, it means wakat Alder anaingia kwenye first team na kuanza dhidi ya Newcastle, Soton walikuwa wameshinda game moja tu na kudraw game ya West brom..dhidi ya LFC (tulishinda 2-1), dhidi ya West brom (0-0), dhidi ya West ham (walishinda), ile game ya Newcastle ambapo ndo ilikuwa game ya kwanza ya Alder pale Soton walishinda bao 4,

so utaniambiaje Ujio wa Alder haukuimarisha backline ya Soton na perfomance ya huyo Fonte? usibishane just for the sake of it..


Kuhusu Lovren tumeliongelea huko kwenye posts za Nyuma, mpaka suala la kwanini aliflop msimu wake wa kwanza LFC (tumeliongelea huko nyuma, lakin unalileta tena)

Then, hiyo argument ya *Team of the year* ni LAME.

How is it lame?? Lol


He merited his place in fans team of the year....wangemueka aliembeba fonte..aliembeba ndo bora..hahaha

Alderweirld played only 19 epl games for southampton....fonte played all but one game..yani 37 games...it is ridiculous how alderweirld anasemwa ndo alimbeba fonte haha...all this to prove kua lovren has been more solid than fonte in epl.......hahaha MosDef give up


Then I read soton players of the year...wa kwanz fonte followed by wanyama then betrand....ok fans wa soton hawampend alderweireld..........link iyo ingia
http://www.hitc.com/en-gb/southamptons-best-defender-of-the-season-so-far/


Fonte akimzidi toby in 7 defensive attributes. ........

10 appearances for toby in open half of the season..then only 9 appearances in second half of the season.........well he carried fonte even when nursing his injuries which kept him out...

Fonte is 30 years old..I can understand why no top team wanted him........but he was easily epl best defender...pfa and soton fans both rated him the best... . MosDef unasema alibebwa na toby..
 
Last edited by a moderator:
Lmaaaao, afu kumbe ulikuwa unani-mislead, Fonte alikuwepo kwenye Epl fans team of the Year siyo *EPL TEAM OF THE YEAR* Epl team of the year alikuwepo John Terry na Cahill, Damn..and now i remember Crtics walivyokuwa wanacrticize uwepo wa Cahill over Alder/Kos..and not Fonte.

DAMN. hahahahahaha, wembee ulikuwa unaniingiza chakaaaa! hahahaha!

kuingia Pfa fans team of the year bado ni accolade kubwa...bottom line ni kua fonte alikua epl and soton best cb...uyo alderweirld labda backup team of the year...... unacheck info wikipedia n then unaclaim unakumbuka how alderweird alivochez lol....three separate injuries zilimfany acheze only 19 league games...sawa na yoshida aliechez 18 games........so far hujaja na proof hata moja inayoprove kua fonte alibebwa na toby....nmekupa proofs tatu

-fonte kua pfa team of the year ahead of fonte

- fonte kua soton best player ahead of betrand n wanyama...no toby

- pia nmekupa statistical evidence which shows how fonte amemzid toby in 7 defensive criterias..


Now come with facts or bust....
 
Last edited by a moderator:
Timu mbovu kuanzia beki,kiungo mpk umaliziaji. The moves are so predictable,players looks tired and lack creativity. Its about the way the team plays and not the pulling power of Klopp. Tukiendelea hivi hata Klopp naye ataonekana wa kawaida tu
 
How is it lame?? Lol


He merited his place in fans team of the year....wangemueka aliembeba fonte..aliembeba ndo bora..hahaha

Alderweirld played only 19 epl games for southampton....fonte played all but one game..yani 37 games...it is ridiculous how alderweirld anasemwa ndo alimbeba fonte haha...all this to prove kua lovren has been more solid than fonte in epl.......hahaha MosDef give up


Then I read soton players of the year...wa kwanz fonte followed by wanyama then betrand....ok fans wa soton hawampend alderweireld..........link iyo ingia
http://www.hitc.com/en-gb/southamptons-best-defender-of-the-season-so-far/


Fonte akimzidi toby in 7 defensive attributes. ........

10 appearances for toby in open half of the season..then only 9 appearances in second half of the season.........well he carried fonte even when nursing his injuries which kept him out...

Fonte is 30 years old..I can understand why no top team wanted him........but he was easily epl best defender...pfa and soton fans both rated him the best... . MosDef unasema alibebwa na toby..

30 years old ndo Pick ya CB yoyote duniani mzee..tangu ile Lovren Era mpaka sasa, atleast angekuwa amehitajika hata na Everton.

huko juu nmekupa mfano wa Sakho na Skrtel au naweza kukupa mfano wa Skrtel na Agger, au mfano wa Kompany na otamend/mangala/Demichelis/Even Natastic..Agger/Sakho wamecheza games chache sana za EPL, kuliko Skrtel kwasababu ya Injuries, But wamekuwa wakimbeba Skrtel over the years, unachotakiwa kufanya ni kuangalia Clean sheets rate na Winning rate ya Soton pale alipokuwepo Alder na asipokuwepo Alder, ni kama sasa uangalie Clean sheet rate na winning rate, pale anapokuwepo Sakho kwenye team na Asipokuwepo, the same kwa Kompany/Kos/shawcross etc

Fonte kama angekuwa ni beki mzuri, there's no doubt asingekuwepo pale Soton mpaka sasa, na tungekuwa tumeshaona ubora wake kabla ya Lovren/Alder, sahiv yupo na Van djik, na Origi aliwafunga hat-trick, no one is covering for his shit mistakes msimu huu, defense ys Soton imekuwa uchochoro..Fonte ni average CB, ambaye huwa anaonekana mzuri akiwa na partnership mzuri, hiki kitu watu walikiongelea/tulikiongelea sana wakat wa Lovren, coz fonte alikuwa anapata praise kibao kwa Soton fans kwa kaz aliyokuwa akiifanya Lovren, (soton fans favorite)..mimi ni mmoja wapo ambaye nilikuwa sikubaliani na watu kama nyinyi kwa wakat ule kuhusu hype aliyokuwa akiipata fonte msimu wa 2013/2014, coz ile previous season ya 2012/2013 he was shit, alikuwa anacheza sambamba na Maya Yoshida, Yoshida was shit so alikuwa hawez kucover silly mistakes za jamaa, ndo maana kina Lovren na Alder wameenda pale na kuwaacha yeye na Yoshida..

Alder kacheza games 19 kwenye EPL, but mwisho wa msimu offers zilizotua Soton, nyingi zilikuwa za Alder, Morgan na Clyne, hakuna aliyejishughulisha na the so called "Solid CB" ambaye alicheza games zaid ya 30, Iliwaforce ATM wabadilishe Terms katika buyout Clause yake ili kupiga hela nyingi zaidi baada ya loan spell yake kuisha Soton na yeye kugoma kurud ATM, soton used every resource and power, money kum-bakiza, but he was too ambtious, akasepa zake Spurs, Soton fans waliumia Alder kuondoka kuliko hata Morgan..na hii ni kwasababu ya mchango na utofauti anaoleta mchezaji kwa kila game anayocheza, Sakho muda mwingi anakuwa nje akiuguza majeraha, but akirud katika games 2-3 unaona utofauti, mfano mkubwa Sisi tunaye DS, mpaka sasa kacheza games ngap? lakin kwa hizo games tayar unaona utouti anaoleta akiwa uwanjani kuliko Benteke, na Benteke msimu huu akifunga goals zaid ya DS, ataonekana yeye bora, kwasababu DS hajaonekana sana uwanjani, na ana games chache sana, na always huwa inakuwa hivyo, Rooney has been dire this season, lakin akifunga goals 5-7 zaid ya Sturridge, hatuwez kuja kusema stilk DS ni better than Rooney, coz DS kacheza games chache sana, so ule MCHANGO WAKE ambao ni crucial wa kurate players contribution per minutes unakuwa unam-beba Rooney, na ndo ulim-beba Fonte over the years, kacheza games 30, Alder kacheza games 19, so ni lazma, Fonte atakuwa kamzid Alder katika percentage za clearence, blocks etc? but that makes him a better player than Alder? No, coz hata Mangala kamzid Kompany percentage rate ya blocks etc coz kacheza games nyingi kuliko Kompany this season, So kama Kompany akirud City na kumanage kucheza games 10-12, tutaona utouti mkubwa, lakin at the end of the season hatuwez mpigia kura Kompany aingie kwenye team bora ya msimu, coz contribution rate yake per minutes ni ndogo, but hiyo haimaanishi, Per/Reid/Skrtel/Zouma/Mangala/Dann etc are all better than Kompany.

Alder amekuwa involved karibia kila game ya Spurs msimu huu, so whos been better kati yake na Fonte msimu huu?
 
Last edited by a moderator:
30 years old ndo Pick ya CB yoyote duniani mzee..tangu ile Lovren Era mpaka sasa, atleast angekuwa amehitajika hata na Everton.

huko juu nmekupa mfano wa Sakho na Skrtel au naweza kukupa mfano wa Skrtel na Agger, au mfano wa Kompany na otamend/mangala/Demichelis/Even Natastic..Agger/Sakho wamecheza games chache sana za EPL, kuliko Skrtel kwasababu ya Injuries, But wamekuwa wakimbeba Skrtel over the years, unachotakiwa kufanya ni kuangalia Clean sheets rate na Winning rate ya Soton pale alipokuwepo Alder na asipokuwepo Alder, ni kama sasa uangalie Clean sheet rate na winning rate, pale anapokuwepo Sakho kwenye team na Asipokuwepo, the same kwa Kompany/Kos/shawcross etc

Fonte kama angekuwa ni beki mzuri, there's no doubt asingekuwepo pale Soton mpaka sasa, na tungekuwa tumeshaona ubora wake kabla ya Lovren/Alder, sahiv yupo na Van djik, na Origi aliwafunga hat-trick, no one is covering for his shit mistakes msimu huu, defense ys Soton imekuwa uchochoro..Fonte ni average CB, ambaye huwa anaonekana mzuri akiwa na partnership mzuri, hiki kitu watu walikiongelea/tulikiongelea sana wakat wa Lovren, coz fonte alikuwa anapata praise kibao kwa Soton fans kwa kaz aliyokuwa akiifanya Lovren, (soton fans favorite)..mimi ni mmoja wapo ambaye nilikuwa sikubaliani na watu kama nyinyi kwa wakat ule kuhusu hype aliyokuwa akiipata fonte msimu wa 2013/2014, coz ile previous season ya 2012/2013 he was shit, alikuwa anacheza sambamba na Maya Yoshida, Yoshida was shit so alikuwa hawez kucover silly mistakes za jamaa, ndo maana kina Lovren na Alder wameenda pale na kuwaacha yeye na Yoshida..

Alder kacheza games 19 kwenye EPL, but mwisho wa msimu offers zilizotua Soton, nyingi zilikuwa za Alder, Morgan na Clyne, hakuna aliyejishughulisha na the so called "Solid CB" ambaye alicheza games zaid ya 30, Iliwaforce ATM wabadilishe Terms katika buyout Clause yake ili kupiga hela nyingi zaidi baada ya loan spell yake kuisha Soton na yeye kugoma kurud ATM, soton used every resource and power, money kum-bakiza, but he was too ambtious, akasepa zake Spurs, Soton fans waliumia Alder kuondoka kuliko hata Morgan..na hii ni kwasababu ya mchango na utofauti anaoleta mchezaji kwa kila game anayocheza, Sakho muda mwingi anakuwa nje akiuguza majeraha, but akirud katika games 2-3 unaona utofauti, mfano mkubwa Sisi tunaye DS, mpaka sasa kacheza games ngap? lakin kwa hizo games tayar unaona utouti anaoleta akiwa uwanjani kuliko Benteke, na Benteke msimu huu akifunga goals zaid ya DS, ataonekana yeye bora, kwasababu DS hajaonekana sana uwanjani, na ana games chache sana, na always huwa inakuwa hivyo, Rooney has been dire this season, lakin akifunga goals 5-7 zaid ya Sturridge, hatuwez kuja kusema stilk DS ni better than Rooney, coz DS kacheza games chache sana, so ule MCHANGO WAKE ambao ni crucial wa kurate players contribution per minutes unakuwa unam-beba Rooney, na ndo ulim-beba Fonte over the years, kacheza games 30, Alder kacheza games 19, so ni lazma, Fonte atakuwa kamzid Alder katika percentage za clearence, blocks etc? but that makes him a better player than Alder? No, coz hata Mangala kamzid Kompany percentage rate ya blocks etc coz kacheza games nyingi kuliko Kompany this season, So kama Kompany akirud City na kumanage kucheza games 10-12, tutaona utouti mkubwa, lakin at the end of the season hatuwez mpigia kura Kompany aingie kwenye team bora ya msimu, coz contribution rate yake per minutes ni ndogo, but hiyo haimaanishi, Per/Reid/Skrtel/Zouma/Mangala/Dann etc are all better than Kompany.

Alder amekuwa involved karibia kila game ya Spurs msimu huu, so whos been better kati yake na Fonte msimu huu?

Lol.....u r clutching on the straws.

Correction...lovren alikua better than fonte msim wa 2013/14 na hata fans wa soton walimkubal lovren..japo form yake ilianza kushuka kuanzia january.

Sisem fonte is great defender au ni better than toby.u r reading between the lines.nachosema fonte alikua na better season than toby last season...even avarage defenders hua wanawez kua na one or two amazing seasons...distin at everton...dunn at city...dann at palace..jones at mancs...and even lescott at city.hata yule villa defender mweny age ya 30 who has been avarage kwa mda mrefu was best cb in world cup 2014.fonte was amazing for soton last season na his inclusion in team of the year suggested that...pia his defencive stats ambapo he was superior to toby in seven key areas can never be over looked.


Hamna maswala ya kubebana...cbs hua wanahitaj defencive patners who can get the best out of them..mfano vidic alikua world class defender but whenever alipokua anapangwa na heinze/wes brown kama his cb pairing alikua anafanya alot of mistakes...but alipokua anapangwa na rio he was amazing....haimaanish rio(who was ageing by that time) was better than vidic..
Ndio maana managers wanatry different combinations ya cbs.

Individualy toby is much better than fonte but point hii ni kua fonte had better season than lovren na toby last season....nmeleta proofs to suggest that..


Halaf kigezo cha clean sheet per games can be deceiving...clean sheet inainvolve alot more than just a cb...ni whole team involvement including a goalkeeper...lovren alikua worst cb last season na sakho alikua our best cb...but with lovren we kept more cleansheet than with sakho...one individual hayuko directly involved kukeep clean sheet.....kucompare cbs we shud look at their defencive actions in relation to minutes they played in....tackles per min...intercepetion per min..block per mins..aerial duel won per min.hapa fonte alikua superior to toby and it is not even funny. ....fonte angekua 24 last season then br would have splashed 30mln pound for him...


This whole debate was u trying to justify kua lovren has been more solid than fonte in epl which is hilarious to say the least


Toka lovren aje epl he had one good first half of the season at soton....audaciously bad one and half season with liverpool..fonte had full good season in epl which awarded him a place in pfa team of the year. ..

I would leave u with this

Form ya xabi na mascherano in 2007/08 season drew the best out of gerrard and torres who finished the season as our top n second top scorer. Can we say that alonso and masch were better than gerro n torres at that season??? This is what u suggested with ur kubebwa point which I find it peculiar.....it is very possible that toby drew the best out of fonte japo fonte played 37 games n toby 19😃..but what does that say?? Fonte delivered his most solid season in epl..the feat which lovren(pique)hasnt archieved...
 
Lol.....u r clutching on the straws.

Correction...lovren alikua better than fonte msim wa 2013/14 na hata fans wa soton walimkubal lovren..japo form yake ilianza kushuka kuanzia january.

Sisem fonte is great defender au ni better than toby.u r reading between the lines.nachosema fonte alikua na better season than toby last season...even avarage defenders hua wanawez kua na one or two amazing seasons...distin at everton...dunn at city...dann at palace..jones at mancs...and even lescott at city.hata yule villa defender mweny age ya 30 who has been avarage kwa mda mrefu was best cb in world cup 2014.fonte was amazing for soton last season na his inclusion in team of the year suggested that...pia his defencive stats ambapo he was superior to toby in seven key areas can never be over looked.


Hamna maswala ya kubebana...cbs hua wanahitaj defencive patners who can get the best out of them..mfano vidic alikua world class defender but whenever alipokua anapangwa na heinze/wes brown kama his cb pairing alikua anafanya alot of mistakes...but alipokua anapangwa na rio he was amazing....haimaanish rio(who was ageing by that time) was better than vidic..
Ndio maana managers wanatry different combinations ya cbs.

Individualy toby is much better than fonte but point hii ni kua fonte had better season than lovren na toby last season....nmeleta proofs to suggest that..


Halaf kigezo cha clean sheet per games can be deceiving...clean sheet inainvolve alot more than just a cb...ni whole team involvement including a goalkeeper...lovren alikua worst cb last season na sakho alikua our best cb...but with lovren we kept more cleansheet than with sakho...one individual hayuko directly involved kukeep clean sheet.....kucompare cbs we shud look at their defencive actions in relation to minutes they played in....tackles per min...intercepetion per min..block per mins..aerial duel won per min.hapa fonte alikua superior to toby and it is not even funny. ....fonte angekua 24 last season then br would have splashed 30mln pound for him...


This whole debate was u trying to justify kua lovren has been more solid than fonte in epl which is hilarious to say the least


Toka lovren aje epl he had one good first half of the season at soton....audaciously bad one and half season with liverpool..fonte had full good season in epl which awarded him a place in pfa team of the year. ..

I would leave u with this

Form ya xabi na mascherano in 2007/08 season drew the best out of gerrard and torres who finished the season as our top n second top scorer. Can we say that alonso and masch were better than gerro n torres at that season??? This is what u suggested with ur kubebwa point which I find it peculiar.....it is very possible that toby drew the best out of fonte japo fonte played 37 games n toby 19😃..but what does that say?? Fonte delivered his most solid season in epl..the feat which lovren(pique)hasnt archieved...

Narudia tena CB anakuwa kwenye highest pick kuanzia 27-30, hilo suala la kunambia kama Fonte angekuwa 24, BR angemwaga pesa ni la ajabu, Thiago Silva ana miaka 31 sahiv, but ukimweka Sokoni lazma watu wamwage pesa same kwa Kos, Man utd last season walikuwa tayar kumwaga pesa kwa Ramos ambaye ni 29 now, Pique is 28 lakin akitaka kuondoka leo barcelona watu wangemwaga pesa, Barcelona walimtaka Agger akiwa na miaka 29, kwanini wasimtake Huyo Fonte??

Again, Lescott, Distin etc ni frauds, hawajawahi kuwa CB wazuri katika maisha yao.

Nini maana ya Partnership/pair katika mpira??? kucover errors na mistakes za mwenzako, ndo kitu ambacho kinamake a great pair/Partnership, na ndo maana mantiki halisi ya kubebana inapokuja, Partnership huwa inakuwa mbovu kama DF wote wawili ni Shit, na nikatoa mfano wa Fonte na Yoshida, au Mangala na Otamendi, Skrtel na Lovren etc, Fonte alionekana bora Msimu wa 2013/2014 kwasababu ya Lovren, Fonte alitoka na Clean sheets mara nying akiwepo na Alder msimu uliofatia, msimu huu kawa shit again coz yupo na bek mpya kwenye league Van Djik..

Lol, bro muulize fan yoyote wa United atakwambia kuwa NEMANJA VIDIC MADE RIO, Vidic ndo alimrudisha Rio kwenye kiwango chake cha Leeds, Vidic ndo akifanya Rio aifumbe midomo ya shit critics wote, ile partnership ilikuwa hatari sana, Vidic kafika united 2006, kamkuta Rio akiwa katika lundo la criticsm na scandals, Kumbuka alichukuliwa leeds kwa ?30m na pundits walikuwa wanasema bado hajafikia hicho kiasi, na isitoshe ile scandal yake ya Kutumia dawa za kuongeza nguvu, ni kuanzia hiyo 2006 ndo one if the greatest CB pairing kwenye league ndo ikaibuka, Vidic na Rio..asa unaposema Vidic alicheza na Rio wakat Rio anaanza kuzeeka ulikuwa unamaanisha nini?? Rio kaanza kupotea akiwa kwenye 34, Nemanja aliondoka united 2014 akiwa na miaka 33, Rio aliondoka akiwa na miaka 35 kama sikosei mwaka huo huo, Na nemanja mpaka anaondoka united tayar mpira wake ushaanza kuisha, New era ya CB ilikuwa inaanza Pale united.


Hilo swali la Mwisho, huwa haliulizwi na Shabiki wa LFC, coz kila shabiki wa LFC anaelewa mzizi wa kupotea kwa LFC uwanjani over the years, ni kuuzwa kwa hao watu wawili Masch na Alonso, Masch forced a move kwenda Barca, but The owners and Benitez waliforce move ya Alonso kwenda Madrid, huo ndo ukawa mwisho wa LFC, mpaka leo tumeshindwa kureplace hao watu, Muulize SG msimu wake bora pale LFC ni upi atakwambia ni 2008/2009, SG alikuwepo LFC for years, but hakuwah kucheza kwa raha kama msimu wa 2008/2009, Alonso na Masch waliondoka SG na Torres wakat, kilitokea nn msimu uliofata? Unajua kuwa Form ya SG ilididimia baada ya hapo? unajua kuwa Torres turned shit? unajua kuwa LFC turned to be a Mid-table team? and most of all tunaongelea kuhusu Pairs, Alonso na SG wanacheza Position tofauti, Katika Eneo alilokuwa anacheza SG hakuwa na mpinzani (CAM), But Eneo alilokuwa anacheza Alonso halikuwa na mpinzani, The same kwa Masch.

Misimu miwili ya mwisho SG aliona acheze CM, baada ya kuona upuuzi unaofanywa hapo katikati, but alifikia hata nusu ya kiwango cha Alonso??? i mean Alonso yule na huyu wa sasa wa Bayern mwenye miaka 34?
 
Huyu Lallana anauzi Sana anao anao Tu bora dogo Ibe angalau Texeria yule angekuwa anacheza Game tunaicheza sie ILA upasuaji mbovu lallana anachelewesha pasi.
 
kwa benteke tumechemka hapa alitakiwa ibe au lucas aingie firminho akae kati! milner anatatizo gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom