Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Harder, faster, stronger: The stats that show Klopp has made immediate Liverpool FC impression 😂😂😂😂
 
Kumbuka Man City walipigwa hapo goli nne kwa moja!
Am happy with the draw...considering the injuries we have.

Loserfools waliwapiga Spurs 3-0 last season. Sijui unasemaje juu ya hili?!?

Is a draw a sign of improvement or a dip?
 
Loserfools waliwapiga Spurs 3-0 last season. Sijui unasemaje juu ya hili?!?

Is a draw a sign of improvement or a dip?

jana Klopp ilim-bidi aanze na striker chaguo la NNE, ambaye ni ORIGI,

Sturridge, Ings, Benteke, Firmino, Gomez na Henderson wote ni majeruhi..

Alikuwa na siku 3 tu za kutrain na Team..

na kwa kipind hiki Spurs wapo kwenye form kuliko LFC,


Na Mwisho, hii ni Game yake ya kwanza kama LFC manager na katika BPL..


so sijaelewa point yako bado.
 
jana Klopp ilim-bidi aanze na striker chaguo la NNE, ambaye ni ORIGI,

Sturridge, Ings, Benteke, Firmino, Gomez na Henderson wote ni majeruhi..

Alikuwa na siku 3 tu za kutrain na Team..

na kwa kipind hiki Spurs wapo kwenye form kuliko LFC,


Na Mwisho, hii ni Game yake ya kwanza kama LFC manager na katika BPL..


so sijaelewa point yako bado.

Achana nae huyo
 
jana Klopp ilim-bidi aanze na striker chaguo la NNE, ambaye ni ORIGI, .

Sasa unalalamika ama?

Sturridge, Ings, Benteke, Firmino, Gomez na Henderson wote ni majeruhi..

Alikuwa na siku 3 tu za kutrain na Team..

Kumbe! Kwa hiyo anahitaji msimu mzima kutrain ili timu ipate max. points?

na kwa kipind hiki Spurs wapo kwenye form kuliko LFC, .

Oh! Kumbe timu ikiwa form zaidi ya Loserfool ni halali kwa Loserfool kutopata maximum points? Lakini siyo timu zingine siyo?

Na Mwisho, hii ni Game yake ya kwanza kama LFC manager na katika BPL...

Oh! Kumbe ilikuwa game yake ya kwanza! Kwahiyo LvG alivyofungwa game yake ya kwanza dhidi ya Swansea suala la kuwa ni game yake ya kwanza haliku-apply eh?!?

so sijaelewa point yako bado.

Huwezi kuelewa kwani umeisoma comment kwa macho ya kinazi...

Mimi sijaongelea kwa sababu ya Klopp...nimeongelea Loserfool kama timu...mwaka jana mlicheza na Spurs kwao na kuwafunga 3-0...safari hii mmetoka droo na kuna mLoserfool anasema amefurahia matokeo!

Labda kama unataka kusema timu ya mwaka jana was better than this one.
 
Sasa unalalamika ama?



Kumbe! Kwa hiyo anahitaji msimu mzima kutrain ili timu ipate max. points?



Oh! Kumbe timu ikiwa form zaidi ya Loserfool ni halali kwa Loserfool kutopata maximum points? Lakini siyo timu zingine siyo?



Oh! Kumbe ilikuwa game yake ya kwanza! Kwahiyo LvG alivyofungwa game yake ya kwanza dhidi ya Swansea suala la kuwa ni game yake ya kwanza haliku-apply eh?!?



Huwezi kuelewa kwani umeisoma comment kwa macho ya kinazi...

Mimi sijaongelea kwa sababu ya Klopp...nimeongelea Loserfool kama timu...mwaka jana mlicheza na Spurs kwao na kuwafunga 3-0...safari hii mmetoka droo na kuna mLoserfool anasema amefurahia matokeo!

Labda kama unataka kusema timu ya mwaka jana was better than this one.

Asa ndo umeandika nini hapo?
 
Tangu Klopp Atue LFC, we've been LINKED with Gundogan, Neves, Karius, Horn, Leno and HOWEDES!!!!!!!

DONT TELL ME NOT TO GET EXCITED
 
Tangu Klopp Atue LFC, we've been LINKED with Gundogan, Neves, Karius, Horn, Leno and HOWEDES!!!!!!!

DONT TELL ME NOT TO GET EXCITED

Quality manager attracts quality players and not mediocre
 
akirudi bobby na Ben next week itakuwa ni Noma, Milner na lallana wote bench...Itakuwa ni Can and Lucas..then cou, afu Sturridge na Bobby, behind Ben, au Ben ataanzia bench, then Bobby and Dan upfront..
 
jana bhana, kuna team zimeshinda 3, kuna jamaa aliyejiishia nae kaona Mwezi jana, kuna panya mwengne kapiga Hattrick jana, my man Ozil kuweka record ya Assists, Vardy was on fire kwa mara nyingine, McClean celebrating infront of Sunderland fans etc etc, Lakin guess what? ni KLOPP ndo alikuwa Anamake HEADLINES, hahahahahaha, ndo maana kuna watu wanapanick, tangu aje klopp wamekuwa wanapata nafas ndogo saaaana kwenye papers na kwenye football sites...hahahaha...RAHA SAAANA..
 
jana Pochettno kwenye Post-Match presser aliulizwa "anampa ushauri gan klopp?" akajibu "mimi ndiyo natakiwa kuomba ushauri kutoka kwake'
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

lol, imagine gettn trolled na mtu ambaye kwenye team yake Depay ndo amerithi jezi number 7.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom