Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Maana hamna namna tena. Aende tu kwasasa,km kujuta tutajuta baadae
 
Teh teh teh teh utachinja ng'ombe mkuu. Dua zako zimesikilizwa
Teh teh Kama mlivyomchinja Nzi Leo nitamualika DonDonald aje na Drink zake Sema kwa timu Rogers ametujazia wachezaji wabovu Huyo fundi atayekuja atapata Tabu aombe January ifike awauze kwa mafungu.
 
klopp na LFC tayari makubaliano wanasubiri timu za club zikienda International! Mie na kumchukia Rogers siipendi tufungwe aende tujisogeze mpaka January sababu hii timu ni mbovu wenzetu huko wanajiona Wana timu na wanapigwa ubaya!

Nashukuru br kufukuzwa,kuanzia mechi narudi vibanda umiza kujumuika na kop wengine kumsupport jogoo
 
Boraaaa! Huyu muhuni aende tu. Yaani alivyoongea baada ya mechi ya leo, nilitamani itokee kitu kama mabomu ya mbagala yamlipukie...
 
Saafi sana. Hata hivyo FSG wana subira sana. Walipaswa kumfukuza huyu jamaa tangu mwisho wa msimu uliopita
 
Jamani niombeeni tu kesho nifike salama!Nakunywa sana pombe hapa club kwa furaha ya kufkuzwa huyu mpuuzi BR
 
BR nitakukumbuka daima

He is the first Liverpool boss since the 1950s not to have won a trophy in his first three seasons in charge.

His overall record saw him win 83, draw 40 and lose 42 of his 165 games at the helm, but he won only four of 11 in all competitions this season despite spending around £80 million on new players in the summer.
 
Saafi sana. Hata hivyo FSG wana subira sana. Walipaswa kumfukuza huyu jamaa tangu mwisho wa msimu uliopita

Mkuu tetesi zilizopo ni kuwa FSG walitaka mtimua toka November mwaka jana ila Ian Ayre ndiye aliyembeba jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom