Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Hongereni majogoo.. kwa kutoa sare
Ningeshangaa kama mkaanga sumu mwenzangu usingepita hapa....
Hongereni majogoo.. kwa kutoa sare
Ningeshangaa kama mkaanga sumu mwenzangu usingepita hapa....
Hivi Firminho bado yupo jamani au amerudi kwa mkopo alipotoka 😂😂😂
Cc: MosDef
Ha ha ha nakosaje sasa...
Hivi unawezaje kuivumilia timu yako
ambayo ni kimeo?
Ule mwaka mmoja wa Moyes, ulikua mgumu sana kwangu kisoka!!
Yupo mkuu aliumia tu