Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 929
- 745
timu yenu no maelewano kabisa
Na kweli kumbe BR anacheza na 3-5-1 ambayo ili fail last season
Sielewi why Lovren anacheza mbele ya Sakho!
Kwa kweli hii siwezi kuilewa kamwe
Sakho ni beki mzuri mara 100 zaidi ya LovrenUnamaanisha Lovren angekuwa nje?
Sakho ni beki mzuri mara 100 zaidi ya Lovren
Siamini kama kuna mtu anamchukia BR kama mimi.Maendeleo hapa afukuzwe BR!
Dakika 45 za kwanza HATA shambulizi moja la maana,muda wote tunaokoa
Ni 442 kuna benteke na Ings mbele