Mmeniachia uwanja leo mmeenda jangwani
jangwani wapi, yapo humu ndani yanachungulia tu.
Mignolet,Clyne ,Skrtel,Llori,Sakho Lucas na Can then Coutinho,Firminho/Milner Brnteke na Ings Mbele anashindwa vipi kupanga hivi mpaka Lovren acheze? sakho na Llori wanaonewa tu.