Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1435580756249.jpg 1435580784108.jpg Mersyside for Medical.
 
If true, this could be the best piece of news of the close season!

Hawa Wamanga tungewapata before those two Yankees dickheads Gillet na mwenzake 10 years ago, nina uhakika by now tungekuwa tumebeba at least ndoo 3 za EPL and at least one more CL crown to our name. Embu angalia ManCity na umbumbumbu wao wote walicho-achieve kwa kuwa bankrolled by the bottomless pockets za Wamanga.

Natamani sana hii habari iwe kweli..

Dah! Loserfools are so desperate to the extent that the desperation impairs their thinking 😂😂

Sasa wanadhani kuwa na Arab monies ndiyo suluhisho! Angalieni PSG, Monaco, Shitty n.k. Hizo zimeshashinda UCL naona!

Wakati wapenzi na wanazi wa Man United, wakipinga mfumo wa umiliki wa timu wa sasa, Loserfools wanahisi kuwekwa chini ya waarabu ndiyo suluhisho.

Ingawa nakubali kwamba mpira wa sasa ni pesa, sikubali kwamba mfumo wa timu kumilikiwa na mtu mmoja ndiyo suluhisho la kupata pesa na mafanikio.

Ukiangalia timu kama R. Madrid, Barcelona na B. Munich, timu zenye mafanikio makubwa Ulaya, zinamilikiwa na wanachama. Mimi naamini huu ndiyo mfumo unaoweza kuleta mafanikio ya kudumu kuliko kutegemea kudra za 'mjomba', ambaye siku moja anaweza kuhamisha mapenzi kwenye masuala mengine.
 
Dah! Loserfools are so desperate to the extent that the desperation impairs their thinking 

Sasa wanadhani kuwa na Arab monies ndiyo suluhisho! Angalieni PSG, Monaco, Shitty n.k. Hizo zimeshashinda UCL naona!

Wakati wapenzi na wanazi wa Man United, wakipinga mfumo wa umiliki wa timu wa sasa, Loserfools wanahisi kuwekwa chini ya waarabu ndiyo suluhisho.

Ingawa nakubali kwamba mpira wa sasa ni pesa, sikubali kwamba mfumo wa timu kumilikiwa na mtu mmoja ndiyo suluhisho la kupata pesa na mafanikio.

Ukiangalia timu kama R. Madrid, Barcelona na B. Munich, timu zenye mafanikio makubwa Ulaya, zinamilikiwa na wanachama. Mimi naamini huu ndiyo mfumo unaoweza kuleta mafanikio ya kudumu kuliko kutegemea kudra za 'mjomba', ambaye siku moja anaweza kuhamisha mapenzi kwenye masuala mengine.

huyo ni wewe...kama unaamini hivyo endelea kuamini hivyo....

na wengine waache waamini wanavyoamini.....

It's that simple....
 
huyo ni wewe...kama unaamini hivyo endelea kuamini hivyo....

na wengine waache waamini wanavyoamini.....

It's that simple....

Pia wanalo jukwaa lao angekuwa na busara japo kidogo tu angekwenda kuishauri team yake maana ni ajabu sana kukuta mtu unashauriwa na mpinzani wako.
 
Jaman hivi kuna mtu anayemjua hata kidogo huyu assistant manager wetu mpya?? (Background yake ikoje?)

Ndo choice ya Rodgers hiyo Aisee, me na kufatilia kwangu soccer kote sijawah kumjua huyu jamaa, labda wenzangu mnamjua Aisee..


#ComedyFC
 
Jaman hivi kuna mtu anayemjua hata kidogo huyu assistant manager wetu mpya?? (Background yake ikoje?)

Ndo choice ya Rodgers hiyo Aisee, me na kufatilia kwangu soccer kote sijawah kumjua huyu jamaa, labda wenzangu mnamjua Aisee..


#ComedyFC

Me mwenyewe nilistuka nilipoona jina lake ikabidi nikamsome nikakuta eti ni kocha wa england under 19 (hii post kaipata September mwaka Jana)

Chakushangaza hana uzoefu wowote na ligi kubwa hebu cheki hapa


O’Driscoll’s Management Timeline
Bristol City: 14 Jan, 2013 to 28 Nov, 2013
Nottingham Forest: 20 Jul, 2012 to 27 Dec, 2012
Crawley Town: 16 May, 2012 to 20 July 2012
Nottingham Forest (assistant manager): 19 Jan 2012 to 16 May 2012
Doncaster Rovers: 08 Sep, 2006 to 22 Sep, 2011
Bournemouth: 19 Aug, 2000 to 10 Sep, 2006


Halafu msikie Rodgers alichokisema kuhusu O’Driscoll hii ilikua 2013

“Look at Sean O’Driscoll. He is one of the best coaches I have ever come across. He is working at Bristol City. He has never had a chance in the top flight. His teams were expressive, had movement, they were technical, but he will probably never get a chance at a higher level.”

Ni muda tu kumbe alikua impressed naye nasikia Sean naye ni mfuasi wa 4-3-3 let's wait and see tunapoelekea
 
Me mwenyewe nilistuka nilipoona jina lake ikabidi nikamsome nikakuta eti ni kocha wa england under 19 (hii post kaipata September mwaka Jana)

Chakushangaza hana uzoefu wowote na ligi kubwa hebu cheki hapa


O’Driscoll’s Management Timeline
Bristol City: 14 Jan, 2013 to 28 Nov, 2013
Nottingham Forest: 20 Jul, 2012 to 27 Dec, 2012
Crawley Town: 16 May, 2012 to 20 July 2012
Nottingham Forest (assistant manager): 19 Jan 2012 to 16 May 2012
Doncaster Rovers: 08 Sep, 2006 to 22 Sep, 2011
Bournemouth: 19 Aug, 2000 to 10 Sep, 2006


Halafu msikie Rodgers alichokisema kuhusu O’Driscoll hii ilikua 2013

“Look at Sean O’Driscoll. He is one of the best coaches I have ever come across. He is working at Bristol City. He has never had a chance in the top flight. His teams were expressive, had movement, they were technical, but he will probably never get a chance at a higher level.”

Ni muda tu kumbe alikua impressed naye nasikia Sean naye ni mfuasi wa 4-3-3 let's wait and see tunapoelekea

Kwa staili hii, Liverpool tunaitaji mganga wa kienyeji
 
Jaman hivi kuna mtu anayemjua hata kidogo huyu assistant manager wetu mpya?? (Background yake ikoje?)

Ndo choice ya Rodgers hiyo Aisee, me na kufatilia kwangu soccer kote sijawah kumjua huyu jamaa, labda wenzangu mnamjua Aisee..


#ComedyFC

Utanifanya nisiangalie tena games za liverpool.
 
hahahahahah Rodgers kamteua mtu wake....

hapa ndo huwa nawachukia FSG...wanamlea Sana huyu jamaa

Ndugu zako wamewapiga chini kina Poscoe na Marsh "kisa" hawana Experiance yoyote Europe, then wanaenda kuchukua LFC U16 and a championship Coach kuwa assistant coaches..

HAHAHAHAHAHAHAHAHA!

Ila tulikuwa tunajisumbua, kwa Ego ya Rodgers asingeruhu kuwa na mtu ambaye kamzid kwa kila kitu kwenye coaching stuff ya LFC na yule ambaye anaweza akamchalenji kimaamuzi (Pako or Rene)

Ishakuwa Nailed, kuwa tutampoteza Coutinho NEXT SEASON.
 
Me mwenyewe nilistuka nilipoona jina lake ikabidi nikamsome nikakuta eti ni kocha wa england under 19 (hii post kaipata September mwaka Jana)

Chakushangaza hana uzoefu wowote na ligi kubwa hebu cheki hapa


O’Driscoll’s Management Timeline
Bristol City: 14 Jan, 2013 to 28 Nov, 2013
Nottingham Forest: 20 Jul, 2012 to 27 Dec, 2012
Crawley Town: 16 May, 2012 to 20 July 2012
Nottingham Forest (assistant manager): 19 Jan 2012 to 16 May 2012
Doncaster Rovers: 08 Sep, 2006 to 22 Sep, 2011
Bournemouth: 19 Aug, 2000 to 10 Sep, 2006


Halafu msikie Rodgers alichokisema kuhusu O’Driscoll hii ilikua 2013

“Look at Sean O’Driscoll. He is one of the best coaches I have ever come across. He is working at Bristol City. He has never had a chance in the top flight. His teams were expressive, had movement, they were technical, but he will probably never get a chance at a higher level.”

Ni muda tu kumbe alikua impressed naye nasikia Sean naye ni mfuasi wa 4-3-3 let's wait and see tunapoelekea

Hahahahahah!!!

Rodgers is fucking Deluded, Yaan kama Kuna kitu LFC fans tulimkosea MUNGU, basi ndo ametulipa kwa kutuletea huyu Jamaa LFC..

Kishamaliza kwa kocha hapo, sahiv anataka kutuletea Benteke LFC, hii ni baada ya kushuhudia Aspas na Lambert wakiwa ndio Number 9 wetu chini ya Rodgers.
 
what I have learnt recently,....BR and James Pearce(of Liverpool ECHO) are the two most hated figures in Liverpool's fans forums....

James Pearce anampenda sana BR...that's why kopites hawamuelewi.....
 
Dah! Loserfools are so desperate to the extent that the desperation impairs their thinking 😂😂

Sasa wanadhani kuwa na Arab monies ndiyo suluhisho! Angalieni PSG, Monaco, Shitty n.k. Hizo zimeshashinda UCL naona!

Wakati wapenzi na wanazi wa Man United, wakipinga mfumo wa umiliki wa timu wa sasa, Loserfools wanahisi kuwekwa chini ya waarabu ndiyo suluhisho.

Ingawa nakubali kwamba mpira wa sasa ni pesa, sikubali kwamba mfumo wa timu kumilikiwa na mtu mmoja ndiyo suluhisho la kupata pesa na mafanikio.

Ukiangalia timu kama R. Madrid, Barcelona na B. Munich, timu zenye mafanikio makubwa Ulaya, zinamilikiwa na wanachama. Mimi naamini huu ndiyo mfumo unaoweza kuleta mafanikio ya kudumu kuliko kutegemea kudra za 'mjomba', ambaye siku moja anaweza kuhamisha mapenzi kwenye masuala mengine.

Kweli wewe ni Nzi...!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
WELL, Rumours ni kwamba FSG wanajiandaa kuiuza LFC kwa waarabu wa DUBAI, ambao wanamiliki OIL Company inaitwa CONSORTIUM, mmiliki wake ni "SHAIKH HAMDAN BIN RASHID AL MAKTOUM" ambae inasemekana ndo the 5th richest man in the world..and you can check on twitter that company is following us (LFC).

Kama mtakumbuka vizuri, November last year, JWH and his wife Linda, visted Dubai (that was before anfield expansion kuanza), so WE CAN DREAM FELLAS.

inasemekana kuwa kuwa tarehe 1 JULY, ni siku ambayo LFC fans tutaskia kitu kuhusu Club, inaweza ikawa kuhusu appoitment ya Assistant Manager (nahisi atakuwa Pako), au ikawa Benteke, au Rodgers kupigwa chini (?) Au Shaikh ata-take over (swali ni je anaweza kutake-over kabla ya expansion haijakamilika?)..


Interesting week AHEAD..let's HOPE for the Best..

Angeinunua hata Dangote tu poa.. Ni bora kuwa na mtu mwenye mapenzi na mpira na klabu pia kuliko kuwa na mtu anayeangalia maslahi yake binafsi na mke pamoja na watoto wake.
Liverpool tumetolewa ICU tukafie home tu.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Ndugu zako wamewapiga chini kina Poscoe na Marsh "kisa" hawana Experiance yoyote Europe, then wanaenda kuchukua LFC U16 and a championship Coach kuwa assistant coaches..

HAHAHAHAHAHAHAHAHA!

Ila tulikuwa tunajisumbua, kwa Ego ya Rodgers asingeruhu kuwa na mtu ambaye kamzid kwa kila kitu kwenye coaching stuff ya LFC na yule ambaye anaweza akamchalenji kimaamuzi (Pako or Rene)

Ishakuwa Nailed, kuwa tutampoteza Coutinho NEXT SEASON.


FSG wamepewa Limbwata na BR..........HAWASIKII LA KUAMBIWA....

But I am sure this season 2015/16 ndo utakuwa msimu wa mwisho BR kuwa Manager wetu....

sometimes huwa najikuta namhurumia sana BR...he really wants to win something and prove himself at a big club...

the problem he's having is inexperience and EGO.....

he really likes to learn from his own mistakes....

Something that I ma sure it gonna cost him his job.....very soon...

Let's wait and see.....
 
Utanifanya nisiangalie tena games za liverpool.

Tuna Managers wawili ambao wote wana historia ya kutimuliwa kwenye clubs walizokuwa wanafundisha huko Championship..huyo kocha msaidiz alitimuliwa Bristol City, mwenzake Rodgers alitimuliwa Reading..

Team imeyumba last season, FSG labda wakahisi kuwa ni kwasababu ya signings na backroom, kwamba Committee inachukua nafas kubwa sana kwenye signings, (na ndo utetez wa Rodgers), so ili kuweka vitu sawa, FSG wakaona ngoja tumpe power zaid Rodgers kwenye usajili, Matokeo yake ndo hivyo tunaletewa Ings, Milner, Bogdan etc, and AM SURE firmino ni signing ya Committee kama Ilivyokuwa kwa Coutinho, Sturridge, Moreno, Can, Markovic, Sakho, Manquilo, Balotelli, Mignolet etc..yeye ndo katuletea Lovren, Lambert, Lallana (for £45m), Aspas, Borini, Allen, Luis Alberto, kolo toure, etc, hata Clyne ile syo signing ya Rodgers coz huwez ukawa umemsajili Clyne na Firmino then ukawa unamtaka Benteke..alikuwa anamtaka Trippier wa Burnley(kaenda spurs now I think) yule OVER clyne,

Juzi napitia news za LFC, naona Pearce anasema LFC are happy to let Bacca sign for AC MILAN, and wapo tayar kuspend £25m kwa Benteke..mtu ukisoma hivyo vitu unacheka tu, ukiachana na signing mbove ya benteke ni kwamba jamaa nae ni injury prone, last 2 seaons kacheza game 52-56, sturridge kacheza game 43-46, so unaona kabisa hawatofautiani sana kwa majeruh, asa unamleta huyo ST, then inafika kipind wote wanaumia, that means firmino atakuwa anacheza na Ings au Origi (hebu jaribu kupicture that Aisee)..

Haya, tumepiga chini Coaches, ngoja tumpe nafas bwana Rodgers atuchagulie kocha anayemtaka, ndo kaenda kutuletea hiyo TAKA TAKA, ije kuwafundisha kina Cou na Firmino..

Rodgers, mzee wa kufanya dreams za watu kuwa kweli, manake kafanya Aspas acheze LFC, Lambert arud nyumban, Lovren kucheza team anayoishabikia, Lallana kucheza LFC, Bogdan kuja LFC straight from Championship mpaka kwenye First team, Ings LOL..

AM CERTAIN kama bado TUTAKUWA NA RODGERS mpaka December na AKIWA AMEBORONGA (which is LIKELY) basi Tumsahau COUTINHO..

Watu wanasema SG alikuwa LOYAL, inaweza ikawa ukweli, lakin kwa enzi zake, alivyokuwa the Most in Demand Midfielder in Europe (with RM, Inter, AC milan, Chelsea etc Keen) na team yetu ingekuwa ni COMEDY kama sahiv, lazma angesepa TU, so me sitamlaumu Coutinho akiondoka for Barca or Madrid, he deserves better..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom