Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi ni LIVERPOOL ila kuanzia leo nahamia FC BARCELONA timu bora
 
Kuliko kumnunua Benteke ni bora mkabaki bila striker ili lijulikane kwamba mna pengo
 
Rodgers anamtaka Benteke, but FSG hawatak kutoa £32m (kuactivate release clause yake) so wanasubiria kuona kama Villa watakubali kushuka mpaka kwenye £25m.

Nnachojua mm kwenye masuala ya usajili, tutahangaika na Villa mpaka karbia na dirisha la usajili kufungwa, kama Villa wataendelea kukataa our proposed bid, hatutakuwa na jins zaid ya kutoa hiyo £32m, coz kwa muda huo kutakuwa hakuna optional ST yoyote yule wa maana anayepatikana...

Naona bado tunasajili tu pale ambapo hatuna shida napo. I do believe BR's role model is Arsene Wenger, wote wanashida na Defensive mid-fielder na proven striker na hata hawana mpango huo, We habe too many number 10(coutinho,Lallana,Markovic,firmino, Joe Allen), hivi wa mwendo huu kweli tuna muelekeo wa mafanikio? Number kumi wengi mpaka wengine unawachezesha winger yaani kama wenger vile Ozil winger, arteta number sita.


Benteke Benteke Benteke, nadhani kila akifikiria ST ndo jina linalomjia la kwanza, let's give them the benefit of doubt, they will turn up good.

Nimeona tumekopeshwa katoto na barcelona kakikomaa wanakachukua tena. Ila kanaweza kuwa Pacheco v.2
 
1435936584803.jpg
 
Benteke cyo mchezaji mbaya kama mnavyofikiria wakuu.....
BR anamtaka Benteke kwa kuwa ni mchezaji ambaye tayari EPL anaijua vizuri na hakuna timu hata moja ambayo hajaifunga...


Benteke atafanya makubwa sana LFC,halafu mtakuja hapa jukwaani kuanza kumsifia.

Kwenda Spain,Ufaransa au Italy kutafuta ST ambaye anakuja kushindwa kazi then timu iingie hasara kama kwa akina Iago Aspas na Baloteli...
Wastani wa Magoli 49 kwa mechi 101 ni record nzuri mno tena kwa timu kama Aston Villa.
 
tumesajili wachezaj saba uliza je kwa zahma tuliyoipata wanastahili?
wanakuja ktk mipango gani kutusaidia pale tulipo.....watusaidie au tuwasaidie ktk safar yakukuza profile zao? hv nani anataka ubingwa akamchukue benteke ? tena kwa gharama hyooooo....
nn tofauti kubwa ya balo ..origi...borini..aspas na benteke pia ings ......
ngoma inaweza kuwa nzuri ila apigaye akawa mlevi ila wachezangoma wanaakili timamu
km ni mimi siwezi kusupport kauli mbiu never walk alone wakat namhamasixha benteke
 
man city wametuma offer kumchukua f.delph. lets face it the only reason man city are making 'ridiculuos' bid for sterling is that they need english players. Liverpool wakiendelea kuleta pozi man city wakijitoa liverpool will stuck with this overrated kid ambaye kashawaambia wazi hataki kubaki lfc

9k=
 
[h=1]Teixeira back in Liverpool FC training after leg break[/h]

JS67844074.jpg



Joao Teixeira returned to training with Liverpool today after making a rapid recovery from a broken leg.
The Portuguese midfielder suffered a fracture just above the ankle playing for Brighton against Huddersfield in April.
It was a bitter blow for the 22-year-old who had impressed for Chris Hughton’s side during his loan spell away from Anfield.
Teixeira was expected to be given opportunities to impress during pre-season – injury permitting – and it appears he is now sufficiently recovered to take part in the tour of Australia and the Far East which departs on Sunday.
 
man city wametuma offer kumchukua f.delph. lets face it the only reason man city are making 'ridiculuos' bid for sterling is that they need english players. Liverpool wakiendelea kuleta pozi man city wakijitoa liverpool will stuck with this overrated kid ambaye kashawaambia wazi hataki kubaki lfc

9k=

Jana nasikia hakuenda mazoezini pretending he was sick
 
Sterling ni wakuondoka tuu akifuatiwa nyuma na BR! Hakuna sababu ya kuendelea kumbebeleza au kutuwekea masharti!
Average manager kweli ni tatizo.
Na Liverpool wamemwambia kwa hali ilivyo mpaka sasa, ni lazima atasafiri na timu kwenda Bangkok nchini Thailand siku ya jumapili.
 
habari zenu, mimi ni mgeni humu ila huwa siku haipiti sijasoma hii thread ya lfc ila nimejiunga rasmi na ni mwanamke hvyo nimependa kujitambulisha ili mnitambue mfuasi mwenzenu

Karibu jukwaani bibie Zahati

Pata kuwa tambua the magnificent MosDef Tisha-TOTO mak89 Janjaweed Malafyale Mzee @wa Rubisi and more fans here of LFC

Ila kuna wengine hupenda kushinda shinda humu ila siyo LFC fans kama Ntuzu na kalou

Kuna wa jinsi yako wakuitwa everlenk yeye wa mashetani kule ila naye anashinda shinda huku

Bila kusahau wanafki na wazandiki wanaopita pita humu chukua muda wako kwa kupitia comments zao utawajua
 
Last edited by a moderator:
habari zenu, mimi ni mgeni humu ila huwa siku haipiti sijasoma hii thread ya lfc ila nimejiunga rasmi na ni mwanamke hvyo nimependa kujitambulisha ili mnitambue mfuasi mwenzenu

kwa nini mwanamke umeamua kushabikia timu ya kizee?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom