Plesis
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 947
- 860
Wazee wa ndoto mpooo hongereni kwa firmino
smh!!!!!
Wazee wa ndoto mpooo hongereni kwa firmino
Wazee wa ndoto mpooo hongereni kwa firmino
kiherehere tu umekuja kufanya nn huku. Kama ni ndoto kaote na wewe
kiherehere tu umekuja kufanya nn huku. Kama ni ndoto kaote na wewe
Clynne Deal limekubali ni 10.5m kwenda 12.5m safi sana Iyre endelea Kabla Rogers hajarudi akirudi kazi yake yupi wa Kuuza nasikia Brendan Rogers anataka kumpa Joe Allen Kuwa Assistant:angry: wake msimu uliopita nilifurahi sana Lovren kuja mara furaha ilipotea alivyoanza kucheza ila namatumaini Lovren atafanya kweli huu msimu so Clyne nafurahia kwa ndani ndani tehtehteh JOE ALLEN akiondoka nitashabikia kama Rossi World Cup italy au Marehemu Rashidi Yekini Mungu amrehemu.
Barret saying we're still in for Benteke..
Me naona signing ya ST iamuliwe na committe tu, hilo liBenteke la nini LFC, yaan ST's anaowatakaga Rodgers ni wa kis*nge tu..katuletea mikina Aspas, Borini, Lambert, Ings, bado anataka kuleta zigo jingine..
kiherehere tu umekuja kufanya nn huku. Kama ni ndoto kaote na wewe
Kwa ratiba tuliyo nayo kama tukifanya vizuri kuna nafasi kubwa ya kumaliza hata top 3 kama BR atawachezesha wachezaji wetu kwenye preferred position.
Let's take Europa seriously, its better to have it kuliko kutoka kapa na pia ni point ya kukomaza wachezaji wetu na kupata experience.
Hivi Jovetic imeshindikana kupatikanika maana pale city he is warming the bench tu
Wazee wa ndoto mpooo hongereni kwa firmino
Ttzo lko barca imekuaribu kichwa chako
ha ha ha ha ha ha ha ha ha sasa wewe ulitaka wahamie asenane
Msmu huu mtarud wenyewe
ha ha ha ha ha ha watu wana hazard matic sasa wewe firmino ushaanza kupiga kelele
Doh! Nimependa jinsi ulivyo na matumaini baada ya hiyo signing ya a promising young talent. Hadi unawaza kumaliza top 3 na kushinda UEFA Europa Cup!!! Shikamoo kwa hili.
Ila jambo moja linanishangaza jinsi humu watu walivyo wanazi, na siyo wapenzi wa soka. Kuna watu humu waliponda na kukejeli usajili wa Depay United. Wengine wakisema hata Sterling ni mzuri kuliko! Sasa leo watu hao hao wanamshangilia Firmino kama vile mkombozi wa Loserfools!
Anyways, Firmino is a talented and promising player. I hope he will settle and do well.
Kuhusu Jovetic, huyu si ameshasajiliwa na Juventus ama?