Plesis
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 947
- 860
INGS to LFC ni DONE DEAL.
wachezaji kama hawa tunawapata haraka sana ila ishu za wachezaji muhimu kama kina konoplyanka,shaqiri,mkhitaryan hatuwapat;:
INGS to LFC ni DONE DEAL.
INGS to LFC ni DONE DEAL.
Kwa wachezaji kama hawa mtasubiri sana.
LOL, Marsh kapigwa chini, bado mwenzake Pascoe....
POSCOE NAE DOWNNNNN!!
Hahahahahahahahah!!
Dah! Ntafurahi sana kama FSG wakimrudisha Pako LFC..Saaaaaaaaaaaana!
Dah! Ntafurahi sana kama FSG wakimrudisha Pako LFC..Saaaaaaaaaaaana!
Contihno kawafunga mexico goli la kwanza dk ya 28.game ya kirafiki live ss3.
Huyu jamaa alivyoondoka Benitez ndio alianza kuyumba ,nilisikia amefanya vizuri huko Israel
Kweli kabisa...... Nimesoma article moja nikaona majina mengi yaliyopendekezwa wakiwemo Zenden, Hypia, Fowler, Carragher, little Sam
Kaka tim yetu sometimes inanisapointi sana.....ila nimerudi rasmi jukwaani....Umepotea sana