Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Dah uyu BR sidhani kama ataondoka maana binafsi toka kitambo naamini FSG na BR wana kitu fans hatukijui, wameshamuweka uyu si rahis kumtimua kulingana na plan zao.
 
Tunataka kukatisha mapumziko ya Ancelotti aje afanye kazi Liver🙇🙇🙇🙇ngoja. Niendelee kuckilizia dili hili ss
 
Ancellot ndo jibu sahihi liverpool but kama BR ataendelea kuwa manager next season cdhan kama naweza kuangalia tena game za Liverpool
 
JS64546797.jpg
 
BILD (Germany outlet) are saying Klopp is interested in the LFC job..
 
BILD (Germany outlet) are saying Klopp is interested in the LFC job..

Mkuu, naona kuna habari njema kwa Reds kuwa hata Carlo Ancelotti na yeye anataka kuifundisha Liverpool according to "the sun". Sasa sijui BR atawekwa pembeni au laa ila huu ndo muda sahihi wa kupata manager wa maana ambao wapo free sasa hivi kama BR ataondolewa.
 
Mkuu, naona kuna habari njema kwa Reds kuwa hata Carlo Ancelotti na yeye anataka kuifundisha Liverpool according to "the sun". Sasa sijui BR atawekwa pembeni au laa ila huu ndo muda sahihi wa kupata manager wa maana ambao wapo free sasa hivi kama BR ataondolewa.

Hahhahah!!! "The sun"..

Sky Italia are saying Ancelotti amekataa kuongea na sisi.
 
Kolo Toure akiwa ndio beki wetu basi tuna matatizo

Tena matatizo sio kidogo
I pray tupate kocha mpya mapema maana BR walahi kichwani kwake siyo salama

SG ana miaka 35 unamuondoa lkn unampa mkataba Kolo mwenye miaka halisi karibia 47?

Kocha kichaa huyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom