Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unahangaika sana na wewe... Unakera

Sheria za jf sawa lakini unakera

Unaboa kichizi acha ushamba

Teh teh teh... Boya at work

Niiteni majina yote mtakayo...ila niwahakikishie jambo moja...hayo majina hata hayawezi kunibadilisha mitazamo yangu na kile ninachotaka kukisema na wapi nikiseme...

Hivi ukijibizana na boya ama mshamba, wewe unakuwa nani?!?

Nyiye Loserfools mnachekesha kweli...mnajitutumua kuniita majina yote mkifikiri yananishtua ama kunichukiza...kumbe ndiyo yananizidishia nguvu ya kusema kile ninachotaka kukisema...

Kama nakuboa bro...just ignore what I say...otherwise swallow it...it's that simple bro...
 
You call it whatever you like and dream of...I don't give a damn as long as I adhere to JF rules bro...

It's a free world bro...if wanna make this thread exclusive to Loserfools then ask JF to do so...otherwise start your own exclusive Loserfools' JF wannabe or just take and swallow it..


sawa umeeleweka... kiustaarabu zaidi ujue unakera

we can tolerate each gently ila ikifika wakati unakua nuisance lazima uambiwe
kuhusu kuanzisha JF liverpool sina muda huo, wala uwezo huo,

ustaarabu hauna sheria!!
 
sawa umeeleweka... kiustaarabu zaidi ujue unakera

we can tolerate each gently ila ikifika wakati unakua nuisance lazima uambiwe
kuhusu kuanzisha JF liverpool sina muda huo, wala uwezo huo,

ustaarabu hauna sheria!!

Kaka, nimeshasema kuwa kama nawakera nipotezeeni tu...

Kila mtu ana ustaarabu wake...kama unaona mimi si mstaarabu, basi sawa..mimi sijali hata kidogo, kwani jambo lolote nililofanya kinyume na utaratibu wowote ule...

Kama mnapenda kuona watu wanaandika vitu mnavyotamani kuviona, narudia tena, anzisheni Liverpool's exclusive JF thread...mimi siwezi kwenda kwenye media fora za Liverpool kusema ninayoyasema hapa, kwani hizo ni exclusive kwa Liverpool.

Ila kwa hii JF, bro utahangaika bure kunitaja na kunipa majina yote unayoyajua, ila hutonibadilisha hata punje..

Kuwa nuisance ni suala relative sana...na ambalo mtu binafsi anaweza kuli-control pasipo kusubiri anayeleta hiyo 'nuisance' kuacha kuleta nuisance..

Nimeuliza kosa langu ni lipi?!? Sijapewa jibu! Nimesema niambiwe kosa ili niombe radhi!
 
Kama mnapenda kuona watu wanaandika vitu mnavyotamani kuviona, narudia tena, anzisheni Liverpool's exclusive JF thread...mimi siwezi kwenda kwenye media fora za Liverpool kusema ninayoyasema hapa, kwani hizo ni exclusive kwa Liverpool.

well... well.... clap clap clap... you nailed it!!:heh::heh::heh:
 
Who are the hell are you to tell me what to write? And where to write?

I can write anything and anywhere as long as I don't break JF rules.

I don't need to do something to show that I have class in this imaginary world..to hell with your class baloney.

Kama wewe na wenzako hamwendi 'kunyea' kwingine ni shauri lenu. Kwa hiyo unataka nifanye kama mnavyofanya nyiye ili niwaonyeshe kwamba I have class? What the heck? What kinda logic is this?!?

Hizo nguvu za kwenda majukwaa mengine Loserpool watazitoa wapi wakati litimu mpaka Steven Gerald anastaafu linashiriki ligi kuu tu.
 
Over priced
Another Di Maria in making

Mkuu, I have watched depay many times after world cup... he is not Di Maria, he is more of a more accurate version of Sterling with a thug approach to his game which will give defenders a run for their money

I am one of the people really hurt by missing out on him... although Liverpool never show any seriousness to sign him (i think they knew atajoin manure)
 
Kaka yangu Malafyale vipi leo unatokaje? Eti utapiga kwata leo? Ntuzu kaniambia leo utamtambua yeye ni nani..... Lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!! Duh! Hali yetu na yenu msimu huu imepishana kidogo tu kwa kweli msimu huu uishe tu.....kila la heri kwa mechi ya leo....

this wasnt a good season for EPL, lest hope timu zinasaini vizuri, otherwise mwakani EPL watapunguziwa timu kwenye UCL
 
Kaka, nimeshasema kuwa kama nawakera nipotezeeni tu...

Kila mtu ana ustaarabu wake...kama unaona mimi si mstaarabu, basi sawa..mimi sijali hata kidogo, kwani jambo lolote nililofanya kinyume na utaratibu wowote ule...

Kama mnapenda kuona watu wanaandika vitu mnavyotamani kuviona, narudia tena, anzisheni Liverpool's exclusive JF thread...mimi siwezi kwenda kwenye media fora za Liverpool kusema ninayoyasema hapa, kwani hizo ni exclusive kwa Liverpool.

Ila kwa hii JF, bro utahangaika bure kunitaja na kunipa majina yote unayoyajua, ila hutonibadilisha hata punje..

Kuwa nuisance ni suala relative sana...na ambalo mtu binafsi anaweza kuli-control pasipo kusubiri anayeleta hiyo 'nuisance' kuacha kuleta nuisance..

Nimeuliza kosa langu ni lipi?!? Sijapewa jibu! Nimesema niambiwe kosa ili niombe radhi!

Mkuu!!
Karibu sana LIVERPOOL FC, binafsi naamini mtu aki deal sana na LFC kwasasa, basi there must be a reason behind, so ujaji wako humu lazima LFC tuna kitu kinachokutesaga sana ila kwasasa kimepotea na haukioni tena, therefore kutokuwepo kwa iko kitu kuna kupa fursa kuja kujidai na maneno mengi huku.
Pl'se uwe unakuja sana hata kipindi wakati Utd mko vibaya, usiwe unajificha nyakati hizo.....Team bila kuwepo wapinzani basi ujue hakuna ushabiki kabisa, just imagine ligi epl ingekua na team moja bila wapinzani, leo hii tusingekua na ushabiki humu.
 
Mbona kimya wakuu vipi..... ..kaka Malafyale sioni updates zozote...BTW mnacheza vizuri msiishie ball possession Kama sisi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom