Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Janjaweed hayo mambo ya "the next big thing" ndo yametucost msimu huu", spent a lot of money kwa Potential players, remember when Marko alvyokuwa anarun the show kule Benifica?? Even Mou got interested, but now tupo wote humu, tunaona IBE ni bora zaid ya Marko.

Why Marko, has turned into shit??, kwanza ni "potential" that's means anatakiwa kuadopt kwanza, pili anachezeshwa nje ya eneo lake, na tatu hana confidence kabisa, hiyo yote bcoz BR anasema alimnunua kwa ajili ya "baadae", but what if angekuwa pedro/konoplyanka?? Wangechezeshwa kwenye RWB??

LFC hatuhitaji tena hizi potential buys..

Tunahitaji Sana Central Mids na ST wenye uzoefu na ambao wapo tayari..siyo kina Vietto, I'd rather have Chicharito kuliko Vietto/ings!

Wakituletea PJANIC ntashinda humu JF week nzima, ilibaki kiduuuchu aende Barca last season, naona washauri wake wakamshauri abak msimu mwingine Roma (Barca wakaona isiwe kesi wakaenda kubeba Fundi mrembo wa Croatia, Rakitic), asa hao ndo wachezaji tunaowataka LFC, hawana papara kabisa.

Am confident with this, coz BR alienda kumuangalia Roma ye mwenyewe, na juzi kasema kwenye presser kuwa anahitaji STARTERS tu sahiv, and Bascombe akasema jamaa kapewa Cash, na MB anauzwa pamoja na Borini na Father Lambo, so that's means we'll be needing 2 STs, ambaye mmoja tunamjua tayari! (Shite).

Interesting Summer ahead!

salute... salute... salute
 
Belo bebeni Depay huyo ndugu zangu, Nyie mna Di Maria tayari, so kuwa na Depay hakutaathiri mipango yenu, si wenye kina Sterling tunahitaji Established Players zaidi.
mr.wise and Janjaweed naona PAUL JOYCE anasema tumekutana na Depay leo, MAN UNITED and PSG (blanc) should act faster, kwanza anaendana sana na mpira wa LVG, huku dogo wa watu asije akachezeshwa RWB bure!

We Got a SHITTY COACH Mr Memphis, you should stay away from that nonce!! And LFC pia!!!

hapo nakongomelea kabissa, tena kwa accent ya kisukuma cha sengerema
 
Future bila present ni umaamuma

Angekuwa hana present sidhani kama angeonekana na vigogo vya soka duniani. Liverpool na Man U walipokuwa wanamfuatilia Depay alikuwa na present, anachokitaka kijana ni kung'arisha future yake.
 
jamani liva liva jamani hata big 4 basi jamaniii daaahh hakuna timu iliyo na washabiki wenye roho ngumu kama liverpool kweli inataka moyo
 
kila nikikumbuka ule usajili wa remy halafu liverpool wakaja kusema eti hafai hana viwango chelsea wakamchukua huyu huyu leo ndie anaeisaidia chelsea
 
Respect mkuu Osokonoi.

Kama ujuavyo, katika watu ambao ungeweza kuwabatiza jina la "wanaomfia BR" nadhani jina langu lingekuwa kwenye tatu bora. Hadi leo sijamchukia kwa sababu technically ni mwalimu mzuri sana.

Sijui ni kukosa uzoefu, sijui ni nini....inaonekana huyu bwana hana mental strength na emotional stability ya kuhimili matukio makubwa. Sasa mkuu si unajua hili chama letu ni kubwa na linaishi a kushamiri kwenye matukio makubwa.

Kweli anaweza kupata msimu mwingine, lakini hawezi kufanya kitu chochote kwa resources (kikosi) zilizopo pale sasa hivi. Na jamaa hana guts za kuwavimbia FSG kabisa!

Tunahitaji manager atakayewaambia FSG "namtaka Gareth Bale kwa gharama yoyote" na akapewa. BR hawezi kuwaambia hivo FSG na wao (FSG) hawaumii kwa msteso ambayo fans tunapata kwa hiyo business as usual. Ndiyo maana mimi nataka nao pia wanyang'anywe timu na Mrusi au Mwarabu mmoja mwenye ma-jay millions yake!

Pamoja kiongozi

Kwa msimu huu BR amekumbana na misukosuko mingi, kuna ambayo inaonekana niya kujitakia na mengine probably niya kusababishiwa plus kuna yale ambayo ni lazima kutokea kutoka na na uhalisia wa mchezo wenyewe

Katika hayo mapito, uongo mbaya kama jinsi ulivyoainisha kwenye maelezo yako, wewe ni mmoja wa wale ambao ulipiga moyo konde na kumtetea hata pale ambapo hasira za wanaliverpool zilioneka kuwaka na kutaka kuunguza jamvi.

Umeongelea possibility ya BR kushindwa kufanya kile mashabiki tunachokitaka ( Ushindi/ Ubingwa) kwa resources zilizopo kwa sasa. Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Pamoja na kukubaliana na wewe lakini pia ninaamini BR ameliona hilo na vilevile najiaminisha kwamba atalifanyia kazi tatizo hilo.
Nimeona kwa twitter, Tony Barret ameandika “Brendan Rodgers has admitted Sturridge could miss rest of season & said Liverpool need a forward who can "play at a top level every week."
 
Mkuu osokonoi wacha tu huu msimu uishe kwa kweli haiwezekani everlenk aje kututambia humu huku Ntuzu akipita pita humu

BR me naona atuachie timu mkuu

Mkuu Ed n Edd nEddy, the fact is msimu umetuendea kombo na mwaka jana everlenk alikuwa akijificha kipindi cha the chosen one. And what can we say about plastic team…rent boys are rent boys managed by the person who cares nothing about football.

Kiongozi I will still give BR one last chance!
 
Last edited by a moderator:
I hope tunawapiga hao WBA maana hii game ya sahv sou na tot bado wako droo naham iishe hivo hivo ndo ila sijui kama kuna possibility
 
[h=1]Balotelli starts for Reds at West Brom[/h]Author:
Phil Reade

Brendan Rodgers opts for three changes to his Liverpool line-up for this afternoon's Barclays Premier League clash with West Bromwich Albion at the Hawthorns.

Mario Balotelli starts for the Reds up front for the first time since the Europa League defeat to Besiktas in Istanbul on February 26. The Italian comes into the side to replace Lazar Markovic.
Jordon Ibe, who was cup-tied for Sunday's FA Cup semi-final defeat to Aston Villa at Wembley, returns to the team to replace Joe Allen.
At the back, Glen Johnson is restored to the starting XI - the full-back comes in to replace Alberto Moreno.
Steven Gerrard will make his 500th league appearance for the Reds, while Adam Lallana is named on the substitutes' bench for the 3pm BST kick-off.
Liverpool's XI: Mignolet, Johnson, Lovren, Skrtel, Can, Gerrard, Coutinho, Henderson, Sterling, Ibe, Balotelli.
Substitutes: Jones, Toure, Manquillo, Lallana, Allen, Borini, Markovic.
 
Bascombe kareport kuwa kapewa hela na Amekuwa summoned kule Boston (FSG base) hiyo June...

Ila kwangu mimi NAONA mambo yanaweza kumuharibikia zaid kama akiboronga kwenye hizi game SITA zilizobaki.

Mkuu Let us hope zitatumika vizuri aiseee, maana dah
 
Mkuu Ed n Edd nEddy, the fact is msimu umetuendea kombo na mwaka jana everlenk alikuwa akijificha kipindi cha the chosen one. And what can we say about plastic team…rent boys are rent boys managed by the person who cares nothing about football.

Kiongozi I will still give BR one last chance!

Ngoja tuone mkuu osokonoi hizi game zilizobaki kama anything can change
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom