kama tunampa sterl 100 anakataa, ningempa depay 120K, he is the next big thing
kusema ukweli, we need two super striker (namba tisa), holding mido, box-to box, center half na kipa
Janjaweed hayo mambo ya "the next big thing" ndo yametucost msimu huu", spent a lot of money kwa Potential players, remember when Marko alvyokuwa anarun the show kule Benifica?? Even Mou got interested, but now tupo wote humu, tunaona IBE ni bora zaid ya Marko.
Why Marko, has turned into shit??, kwanza ni "potential" that's means anatakiwa kuadopt kwanza, pili anachezeshwa nje ya eneo lake, na tatu hana confidence kabisa, hiyo yote bcoz BR anasema alimnunua kwa ajili ya "baadae", but what if angekuwa pedro/konoplyanka?? Wangechezeshwa kwenye RWB??
LFC hatuhitaji tena hizi potential buys..
Tunahitaji Sana Central Mids na ST wenye uzoefu na ambao wapo tayari..siyo kina Vietto, I'd rather have Chicharito kuliko Vietto/ings!
Wakituletea PJANIC ntashinda humu JF week nzima, ilibaki kiduuuchu aende Barca last season, naona washauri wake wakamshauri abak msimu mwingine Roma (Barca wakaona isiwe kesi wakaenda kubeba Fundi mrembo wa Croatia, Rakitic), asa hao ndo wachezaji tunaowataka LFC, hawana papara kabisa.
Am confident with this, coz BR alienda kumuangalia Roma ye mwenyewe, na juzi kasema kwenye presser kuwa anahitaji STARTERS tu sahiv, and Bascombe akasema jamaa kapewa Cash, na MB anauzwa pamoja na Borini na Father Lambo, so that's means we'll be needing 2 STs, ambaye mmoja tunamjua tayari! (Shite).
Interesting Summer ahead!