Keita sio official bado tetes tuKeita tayari
Wamekubali kwa 74 M
Monday tuna bid kwa Van Djiik
Lkn Barca watakuja back kwa 90M pia week ijayo
Tujiandae
Mnaota nyie Mabingwa easy bila kuangalia upande wa pili wenyewe wanafanya nn ..???Mane hapo akija mmoja hasa Lallana atarudi bench
Tuna team nzuri ajabu!
Aje tu Keita na Djiik tunakuwa mabingwa easy!
Mara FC hutaki !?Mnaota nyie Mabingwa easy bila kuangalia upande wa pili wenyewe wanafanya nn ..???
Mane hapo akija mmoja hasa Lallana atarudi bench
Tuna team nzuri ajabu!
Aje tu Keita na Djiik tunakuwa mabingwa easy!
Naona mlivyochukua kikombe cha jana mmejawa na furaha za kupitiliza yani Can aunganishwe na Dybala are u serious ..???Yeah nafurahi kusikia hbr njema km hz,next season tuna CL so tunaitaji Kikosi kipana hasa but nimesikia can amekubali kwenda juve.Ningekuwa mm ndio jk ningewaambia mnapokuja kwa ajir ya can mje na dybala hapo wakiondoka hawarud tena!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado Van Dijk tukikamilisha na huyo basi letu litakuwa ni kukoleza moto tu kuelekea mwezi wa tatu maana mara nyingi ni mwezi unaoamua ubingwa
Keita deal done.
Tata hii sio Police Mara. Mziki huu ni hatareee!Mnaota nyie Mabingwa easy bila kuangalia upande wa pili wenyewe wanafanya nn ..???
Ings inatakiwa aombewe asikose msimu huu, hajafaidi kabisa jezi yetu
Mkuu mnajipa moyo tu hamjui moto wa lukaku eeehh...????Jeshi liko happy sana...season mpya ianze tu...naona tukiwatandika kina manyang'au united goli za kutosha sana....
Mane z BACK
Yap...happy faces...
Inawezekana ikawa ni jambo zuri to both sides kama akipelekwa kucheza games na timu ya under 23 ili aweze kupata muda mwingi wa kuchezaIngs inatakiwa aombewe asikose msimu huu, hajafaidi kabisa jezi yetu
Mkuu mnajipa moyo tu hamjui moto wa lukaku eeehh...????
lukaku aliekua everton au yupi?Mkuu mnajipa moyo tu hamjui moto wa lukaku eeehh...????
Katika timu za kuzifikiria, manyang'au is not one of them...ukiangalia msimu uliopita, timu iliyojitahidi kucheza mpira ilipokutana na Liverpool ni spurs peke yakeJeshi liko happy sana...season mpya ianze tu...naona tukiwatandika kina manyang'au united goli za kutosha sana....