mti wa ajabu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 449
- 368
Sawa utapataaaaaaam 30 yrs wala sijihitaji mteremko ajira nnayo
Sawa utapataaaaaaam 30 yrs wala sijihitaji mteremko ajira nnayo
Safi nakuja PM hahaSawa utapataaaaaa

Msalimie mama konde(harmo)hayo mapinduzi ya jamii frm au ya zanzibar?ht uko ntwara mbona wapo maan wameenea kote![]()
mimi niko huku nanjilinji hapa karibu kabisa na kwa akina Harmo huko Sinza sipajui,
sio siri Mti wa Ajabu ni kwa heshima tu ya ndugu yangu Kidudu ila hapa mapinduzi yalikuwa yanahusika sana sasa mi najua haukosi hata mdogo wako hebu fanya fanya mambo basi![]()
HahahahahSafi nakuja PM haha![]()
Mama salamu ntamfikishia pia kumueleza kijana wake siku hizi anasuka .Tatizo ni utofauti kati ya" ntu na ntu" we unajuaMsalimie mama konde(harmo)hayo mapinduzi ya jamii frm au ya zanzibar?ht uko ntwara mbona wapo maan wameenea kote
haya mapinduzi ya JF ila ni mapinduzi hewa mkuu Kidudu na muheshimu sana yeye" hajaribiwi" japo na mimi ni Nna ka UmanFongo a.ka panga boi ya helicopter weka mbali na mti wa ajabuMti wa Ajabu usibanieHahahahah
Nabaniaaa hii acha ipumzike maana ile thread ya watu wanne si mchezo,acha ipumueeMti wa Ajabu usibanie
Basi zamu yangu wiki ijayooNabaniaaa hii acha ipumzike maana ile thread ya watu wanne si mchezo,acha ipumuee
Hahahaha sawa sina nenoMama salamu ntamfikishia pia kumueleza kijana wake siku hizi anasuka .Tatizo ni utofauti kati ya" ntu na ntu" we unajuahaya mapinduzi ya JF ila ni mapinduzi hewa mkuu Kidudu na muheshimu sana yeye" hajaribiwi" japo na mimi ni Nna ka UmanFongo a.ka panga boi ya helicopter weka mbali na mti wa ajabu
HahahahahaBasi zamu yangu wiki ijayoo
Hahahaha sawa sina neno
fanya fanya basi kwenye wale mashosti zako mmoja tu mi nimnusuru sitanii kama "Mkemia" niko siriazzzzz kufungua kiwanda cha ufyatuajidaaah! hizo lips zimenimaliza,
na hiyo rangi ya chungwa uliyonayo,
natamani nione zaidi ya hapo,hahahahah ngoja niludishe picha yng ya zamani
"eres tan hermosa"
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahahah kwa sababu magu karuhusu elimu bure,madawati ya msaada![]()
fanya fanya basi kwenye wale mashosti zako mmoja tu mi nimnusuru sitanii kama "Mkemia" niko siriazzzzz kufungua kiwanda cha ufyatuaji
Hahahahah kwa sababu magu karuhusu elimu bure,madawati ya msaada
hapana hata bila ya ule 'utani wa wazaramo' mi niko siriazzz na mie niitwe bae hata kwa wiki tu 
Am back baba,niambie mambo
Duh mkuu unakaba mpaka penalty, huna uwezo wa kuibua vipaji vingine?![]()
hapana hata bila ya ule 'utani wa wazaramo' mi niko siriazzz na mie niitwe bae hata kwa wiki tu
![]()
Duh mkuu unakaba mpaka penalty, huna uwezo wa kuibua vipaji vingine?
hapana mkuu lengo sio kukuharibia ila kama ana mdogo wake au rafiki yake basi ndio nilikuwa namaanisha aniweke huko
hatari sana (In Sheikh Kipozeo Vioce)
Hahhahahahaaaa. Mizigo mikubwa mikubwa shekhe![]()
![]()
hapana mkuu lengo sio kukuharibia ila kama ana mdogo wake au rafiki yake basi ndio nilikuwa namaanisha aniweke huko
![]()
hatari sana (In Sheikh Kipozeo Vioce)
![]()