Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

wabongo wanasema "ukitaka kizuri lazima udhurike" mi ndo ninataka hao wabeibe wazuri sina jinsi lazima nigharamie,

kwa nini ule samaki kwa picha na ndoano unayo?
ukipata hiyo usisite kuleta mrejesho
download.jpeg
 
Hahahah itabid uniandalie jioni now naenda kwenye mihangaiko,uniandalie shv kweli unipend wewe mda wote ulikuw unafany nn?
Mh mbona haurudi mamito? Nijitahid kuendelea kusubiri labda maana hii mihangaiko ya mjini itanivunjia ndoa
 
Nilitoa thread yangu humu watu wakasema mimi mzee kisa foleni iliyokuwepo,aya leo niweka nusu picha yang wanione kweli mimi bibi?
 
We nenda

we nenda utajionea mwenyew kila aina ya sampuli
mimi niko huku nanjilinji hapa karibu kabisa na kwa akina Harmo huko Sinza sipajui,
sio siri Mti wa Ajabu ni kwa heshima tu ya ndugu yangu Kidudu ila hapa mapinduzi yalikuwa yanahusika sana sasa mi najua haukosi hata mdogo wako hebu fanya fanya mambo basi
 
Back
Top Bottom