shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Yes dearmy wife yangu
Yes dearmy wife yangu
aaahmm
Ukirudi ufute hapo uliponikwoti... Karibu Mkuranga!wow! miss you sana mrembo...
uko kwenye list hapo juu
Kumbe bado mu wapenzi?!Yes dear
Daaaah!!! Mungu siyo Athumani, afadhali huu uzi umefufuliwa ili nikupate!Unafufuliwa kila kukicha

Umpate mke wa mtuDaaaah!!! Mungu siyo Athumani, afadhali huu uzi umefufuliwa ili nikupate!![]()

Kama wewe ni mke wa mtu, unafanya nini huku kwenye mtongozo? Mungu siyo Shansarie nitakupata tu!Umpate mke wa mtu![]()
![]()
![]()
![]()

Kwanibumeona nikimtongoza mtu. Msg zote hizi ushangai sijatongozwa wenzio wanajua nimekamatika na mwenye huu uzi ndo mhusikaKama wewe ni mke wa mtu, unafanya nini huku kwenye mtongozo? Mungu siyo Shansarie nitakupata tu!![]()

Looooh!!! Wewe ni wa tisa kuniambia kuwa umekamatika na mwenye uzi huu!.....inaonekana mwenye uzi huu ana michepuko mingi sana!!Kwanibumeona nikimtongoza mtu. Msg zote hizi ushangai sijatongozwa wenzio wanajua nimekamatika na mwenye huu uzi ndo mhusika![]()
![]()
![]()

Hahaha hujanipata bado jaribu tena baadaeLooooh!!! Wewe ni wa tisa kuniambia kuwa umekamatika na mwenye uzi huu!.....inaonekana mwenye uzi huu ana michepuko mingi sana!!![]()
![]()
![]()
Kumbuka Mungu siyo Shansarie lakini!Hahaha hujanipata bado jaribu tena baadae
Ngoja aje kwanza @kwatengu njoo muone huyu bazaziKumbuka Mungu siyo Shansarie lakini!
Acha kuhangaika babe, Kwatengu yupo busy na wale baby wengine nane, wewe tulia na mimi babe!Ngoja aje kwanza @kwatengu njoo muone huyu bazazi