kuna kipengele kimoja mmeruka asee...
hatua zote hizo za nini? kwani ume ware tyt ngap wewe?
overtaking is allowed!!
Hunitakii mema wewe, niovertake mbele ya trafic alafu kwenye mteremko mkali!!
Totoz....:A S-rose:
How are you nyani? Mbona sijakusoma kwenye list? Are you single or triple?
I'm quadruple.
list inagoma kabisa kupokea mabadiliko ati...
Yeah, kaka tuyamalize haya mambo na mrembo atoto...yes brother!! ur ryt.
24sio nyngi ukiamua hata sasa....Bado hatujamaliza ndio kwanzaaa naanza, nataka kwanza nihakikishiwe hilo alafu ndio niingie hatua nyingine, bado hatua kama 24 hivi ndio tumalizane😀
sure..overtaking is allowed!!
kipi tena....???kuna kipengele kimoja mmeruka asee...
nashangaa...hatua zote hizo za nini? kwani ume ware tyt ngap wewe?
Kipengele kipi?
ngoja akitaje....
Tite 30 si unajua hipsi hazipatikani hivihivi!
Hunitakii mema wewe, niovertake mbele ya trafic alafu kwenye mteremko mkali!!
Ooooh hapo sawa
karibu...
Nikaribie wapi?