kuna mtu nimempa sifa zako hapo juu sijui atakuwa kaelewa vile!!
afu nilisahau kumwambia kuwa wewe ni delicate sana!! huwezi kuvunja hata biskuti!!
lainiiiiii....
Dear sasa inabidi ni mrudishe mlinzi huu mchezo cjaupenda ngoja yaan unaninyima nisichepuke kumbe ww unatafuta mchepuko ngoja niite mlinzi Mkuu kiwatengu njoooo huku sasa nakurudisha kazini rasm na mshahara nakupandishia
Dear sasa inabidi ni mrudishe mlinzi huu mchezo cjaupenda ngoja yaan unaninyima nisichepuke kumbe ww unatafuta mchepuko ngoja niite mlinzi Mkuu kiwatengu njoooo huku sasa nakurudisha kazini rasm na mshahara nakupandishia