kiwatengu unajua hapa duniani kila mtu ana mtu wake usije ukakaa ukasema nasubiri aachike ndio nimchukue au kumtongoza siku hzi hamna hiyo ni unavaa ujasiri na msimamo unampokonya mtu kweupeeeeeee mchana, iyo inaitwa mpokonyoo yani af bila huruma face to face, ambush