Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,352
- 17,682
Unanilazimisha kukubali salamu za shetani.Hiyo ndo kazi mnayoiweza kwa sasa
Unanilazimisha kukubali salamu za shetani.Hiyo ndo kazi mnayoiweza kwa sasa
Ndugu zetu waliokufa walifuatwa majumbani kwa kuchomeshwa na wajumbe wa CCM, wakauwawa na wakazikwa na hawakushiriki maandamanoHaya mnayo sema jamani si sawa.
Jitafakari wewe hunakosa ulofanya upo safi kabisa.
Watu wanapo nadia mwizi na watu wakatoka kwenda kumpiga na kumchoma moto hamuoni kama ukatili gani huo mnao fanya.
LKwani mama wahuyo mwizi haumii au haumii?
Yupo mtanzania gani alokuwa msafi hana kosa lajinai la kubaka lakuiba kuchukuwa mke au mume wamtu au mtoto wa mtu.
Sote tuna dhambi mola atusamehe.
Na mola hawezi kukusamehe kama wewe huwi mwepesi wa kusamehe.
Kuuwana kugombana na kuchukiana kumeanza zamani kote duniani.
Lakini makubaliano maridhiano na kusameheana ndio zilo leta maendeleo.
Tuondoshe chuki na tusameheane ili tupate kusonga mbele.
Mungu Tusaidie kutia upendo furaha maridhiano na misamaha katika nyoyo zetu.
Barka za mwaka mpoya zikujieni nyote
Ameen
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa chawa na kunyooshewa kidole kuwa ananyemelea teuzi!.
![]()
![]()
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu...
- New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
😁Mda wa kuzima tv kuweka taarabu ndo huu.
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa chawa na kunyooshewa kidole kuwa ananyemelea teuzi!.
![]()
![]()
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu...
- New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Hushangai jitu kama Liwasira nalo eti linamuita mama.Unakuta jitu zima lenye mvi eti nalo linasema "mama"
Kwa matusi na kashfa mmeshindikanaUnanilazimisha kukubali salamu za shetani.
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa chawa na kunyooshewa kidole kuwa ananyemelea teuzi!.
![]()
![]()
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu...
- New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa chawa na kunyooshewa kidole kuwa ananyemelea teuzi!.
![]()
![]()
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu...
- New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa chawa na kunyooshewa kidole kuwa ananyemelea teuzi!.
![]()
![]()
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu...
- New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?