Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,906
- 7,127
Spana spana. Mungu aliponye taifa.
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year
Paskali
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hajawa Rais wa JMT
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Kijana huu sio muda wa mipasho! Mlichukua chama kwa mihemuko mikali ya kuleta mabadiliko sijui mmetapeliwa muda mrefu na fitina nyingi sana!Lissu kakukomesha ndiyo maana una hasira. Utapeli wako wa miaka zaidi ya ishirini ulifikia ukingoni kwa aiabu kubwa.
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.
Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa chawa na kunyooshewa kidole kuwa ananyemelea teuzi!.
![]()
![]()
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu...
- New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
- Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wewe Mbowe sikiliza. Lissu ni kiboko yako na ataendelea kuwa kiboko yakoKijana huu sio muda wa mipasho! Mlichukua chama kwa mihemuko mikali ya kuleta mabadiliko sijui mmetapeliwa muda mrefu na fitina nyingi sana!
Huu ni muda wa kuyaweka into action yale mliyohubiri maana hizi fitina zako kwa sasa hazisaidii chochote.
Sasa huu ujinga unakusaidia nini? Acheni ujuaji wa kitoto tekelezeni mliyoahidi kwa watu.Wewe Mbowe sikiliza. Lissu ni kiboko yako na ataendelea kuwa kiboko yako
Mbowe umeumbuliwa!Sasa huu ujinga unakusaidia nini? Acheni ujuaji wa kitoto tekelezeni mliyoahidi kwa watu.
Kelele za chura hizo...Hana jipya huyu kimama,sijajua malaika mtoa roho anafanya kazi gani,huyu jini mnyonya damu hakupaswa hata kuiona 2026 hata kwa dakika Moja.
Damu za watu 10,000 zimuandame yeye na uzao wake
Hizo salamu za mwaka mpya akawape watoto wake na mume wake. Watanzania wapi hao ambao anawahutubia wakati walimukataa kwenye sanduku la kura na kuamua kuwauwa.
Akunyimaye kunde......Natangaza kwamba Sitamsikiliza
Hiyo ndo kazi mnayoiweza kwa sasaAkamsalimie mume wake Ameir na watoto wake muuaji mkubwa katili la kike lipate presha lianguke chooni livunjike kiuno.
WAISIHARAMU WATU OVYO SANA"Mama yuko live hewani"
😂😂😂😂😂😂😂😂
Haya mnayo sema jamani si sawa.Huyu Bibi Shetani afe tu, Hana mvuto tena tukimuona anatutonesha vidonda vyetu kwa kuwaua Ndugu zetu na kawafukia kibabe.
MUNGU tunakuomba January isiishe huyu akalale mahala stahili, MUNGU ukaonekane maana wewe husimama na wanaonewa.
Kwa akili anazoonyesha kwenye comment zake...kama huyu ndiye basi Kazi ipo.Huyu ni Mbowe. Nifanya research yangu muda mrefu na nimegundua jamaa huyu ni Mbowe.