Atahutubia mitiHaitasaidia kitu!!
Hana jipya huyu,sijajua malaika mtoa roho anafanya kazi gani,huyu jini mnyonya damu hakupaswa hata kuiona 2026 hata kwa dakika Moja.
Damu za watu 10,000 zimuandame yeye na uzao wake
Hizo salamu za mwaka mpya akawape watoto wake na mume wake. Watanzania wapi hao ambao walimukataa kwenye sanduku la kura na kuamua kuwauwa.
Wewe Mbowe wewe si ulisema unabaki kwenye ''biashara'' zako tu na mambo ya siasa hutaki?Haitasaidia kitu!!
Wanabodi
Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx
Karibuni
Paskali
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia
- "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
- Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
- Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Unapangia watu maisha?Wewe Mbowe wewe si ulisema unabaki kwenye ''biashara'' zako tu na mambo ya siasa hutaki?
Sio Mbowe wa Chauma?Jiandae baada ya 2030 kutawaliwa na mwanaCCM mwingine.
"Mama yuko live hewani"
😂😂😂😂😂😂😂😂
[/QUOTkit
Kituko tu!
Wewe Mbowe acha hizo. Umedanganya wananchi kwa miaka zaidi ya 20 eti ni kiongozi wa kuleta mabadiliko kumbe wewe ni kibaraka unapiga fedha. Lissu kakukomesha na kukutia aibu kubwa.Unapangia watu maisha?
Na Upo kwenye uzi wa hotuba 🤣🤣🤣🤣Atahutubia miti
Huyu ni Mbowe. Nifanya research yangu muda mrefu na nimegundua jamaa huyu ni Mbowe.Sio Mbowe wa Chauma?
Mdomo wa nini sasa? Si mna chama na nguvu ya kuleta mabadiliko? Si mlete sasa mdomo wa nini?Wewe Mbowe acha hizo. Umedanganya wananchi kwa miaka zaidi ya 20 eti ni kiongozi wa kuleta mabadiliko kumbe wewe ni kibaraka unapiga fedha. Lissu kakukomesha na kukutia aibu kubwa.
Uchawa kazi yani hapo ameandika huku mavuzi yanasisimka"Mama yuko live hewani"
😂😂😂😂😂😂😂😂
Lissu kakukomesha ndiyo maana una hasira. Utapeli wako wa miaka zaidi ya ishirini ulifikia ukingoni kwa aiabu kubwa.Mdomo wa nini sasa? Si mna chama na nguvu ya kuleta mabadiliko? Si mlete sasa mdomo wa nini?
😅😅😅Uchawa kazi yani hapo ameandika huku mavuzi yanasisimka
Hauko mbali na ukweli.Huyu ni Mbowe. Nifanya research yangu muda mrefu na nimegundua jamaa huyu ni Mbowe.