Jichagulie tusi mwenyewe, naona unaumwa umwigulu nchemba, amekufanya nini?maneno ya busara.[/QUOTE
Vipi ben saanane mambo
una mawazo mfu...mzog@ wewe
Wakuu sikuwa katika nafasi nzuri ya kuangalia kipindi cha leo kutokana na majukumu japo naona ma-Lumumba humu JF wameanza ngebe zao. Kwa tathmini ya haraka haraka nani kamgaragaza mwenzie katika mdahalo wa leo? CDM au CCM? Na ni katika areas zipi hasa kila chama kimejipatia pointi zaidi? General appearance, confidence, and straight-to-the-point nani ka-win zaidi?
Hii kitu ni muhimu sana hasa kuelekea 2015. Usishangae kwa kipindi cha leo kila chama kikawa kimepoteza au kuingiza wanachama wapya kutokana na jinsi wawakilishi wa vyama husika walivyomudu kipindi. Midahalo inatisha hasa katika medani za kisiasa ambapo neno moja linaweza kukupotezea au kukupatia maelfu ya wananchama. Usione baadhi ya vyama vinakimbia midahalo - wanajua impacts zake hasa pale unapokuwa huna hoja za maana za kuwaambia wananchi.
slaa kasema udini unavunja uzalendo. nashangaa slaa kulaani udini hali ya kuwa yeye na chdm ni wadini
Shida ya ma pro cdm ukipngana nao wao wanaonaa matusi ndo solution! Wanafikiri watu wote ni mashabiki wa siasa
mwendesha kipindi hawezi kubalance maswali. anamuuliza mangula maswali tofauti na ya slaa. walikua waulizwe maswali yanayo fanana ili tuweze kubalance. kipindi kimemshinda. amempa slaa muda mwingi kuliko mangula
I doubt if you are not crazy then you are Pinda in nature!!
slaa kasema udini unavunja uzalendo. nashangaa slaa kulaani udini hali ya kuwa yeye na chdm ni wadini
Jichagulie tusi mwenyewe, naona unaumwa umwigulu nchemba, amekufanya nini?
you spent much time more
energy to write speechless...
eti mkuu wa CIA marekani.......Kuna mtu kanitonya (sikuuona mjadala) eti Slaa alimshutumu sijuwi nani kuwa kakoseshwa madaraka kwa mapenzi tu? yaani uzinifu.
Nauliza, alijisahau? au ndio kisa cha nyani haoni ...
eti mkuu wa CIA marekani.......
huyu mzee wanamuonea tu, no offense but siasa hizi za miaka hii haziwezi kabisa.!
Ndio maana chama kinashindwa kuwazuia akina mwigulu wanaolipasua taifa kwa maslahi yao BINAFSI.!
maoni yangu huyu jamaa hafai,na kama anajidanganya atashinda mwaka 2015,mwambie anaota ndoto za alinacha.kwahiyo?
una maoni gani?
aliongea hivyo. siyo siri slaa amepoteza muelekeo. babu kachoka! eti wabunge wapigane ngumi! hili ze linaitakia mabaya nchi yetu. limekaa kishari zaidi. aliulizwa. aliulizwa kuhusu siasa za chdm kuwa za kiharakati zaidi. hawaoni kuwa wanapotoka? akajibu siasa za ushindani ni vita na mapambano.....Ina maana ni kweli aliongea hilo?
Wewe siku ni
mwanaccm?,halafu kabila ya mmiliki wa itv unaijua?,na asili ya chaga
development manfesto(CHADEMA) unaifahamu?.tafakari chukua hatua.
haukua mdahalo,kipindi kimerekodiwa tofautitofauti,sehemu,mda na wakati tofauti,wamefanya kuedit ili ionekane ni mdahalo.Wakuu sikuwa katika nafasi nzuri ya kuangalia kipindi cha leo kutokana na majukumu japo naona ma-Lumumba humu JF wameanza ngebe zao. Kwa tathmini ya haraka haraka nani kamgaragaza mwenzie katika mdahalo wa leo? CDM au CCM? Na ni katika areas zipi hasa kila chama kimejipatia pointi zaidi? General appearance, confidence, and straight-to-the-point nani ka-win zaidi?
Hii kitu ni muhimu sana hasa kuelekea 2015. Usishangae kwa kipindi cha leo kila chama kikawa kimepoteza au kuingiza wanachama wapya kutokana na jinsi wawakilishi wa vyama husika walivyomudu kipindi. Midahalo inatisha hasa katika medani za kisiasa ambapo neno moja linaweza kukupotezea au kukupatia maelfu ya wananchama. Usione baadhi ya vyama vinakimbia midahalo - wanajua impacts zake hasa pale unapokuwa huna hoja za maana za kuwaambia wananchi.
Uwelewa wake mdogo sana
mkuu. Hajui lolote katika sentensi anachukua neno moja na kulitolea
maana. All in all Dr. Slaa is next level yaani hapa inaonekana ni watu
wawili tofauti sana. Big up CDM