Bintiwangara
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 551
- 287
chanel gani???
soma kichwa cha habari mkuu
chanel gani???
huyu babu slaa hana uzalendo. anaridhia ngumi bungeni!
hivi tanzania ubunge unarithiwa siku hizi? Mi nilifikiri anachaguliwa na watanzania wa jimbo husika, labda mi sipo tanzania, kwa hiyo karatu hawakuchagua mbunge! Duh pole kaka.,, mchungaji, padre au sheikh hawastahiki kuwa wabunge?
Lile povu la slaa ndio limefunika?? Punguza mahaba ww. Mangula ndio jinsi ametulia na ni smart, sio mtu wa kukurupuka
mwendesha kipindi alikua
ajikite sana kwenye maana ya uzalendo na viashiria vya uzalendo. ana
hamahama sana kwa kuuliza maswali mbalimbali
Slaa hamna kitu kabisa kichwani. Yaani anashindwa kabisa kujibu maswali. Halafu eti ana PhD.
Mangula is very smart. Anajibu hoja kwa utulivu na kwa umakini bila papara tofauti na slaa anayeishia kulialia kwa mwandishi
nakuunga mkono mkuu!
mtangazaji is too much of an 'Ametur' anatakiwa mtu mzoefu kuendesha hiki kipindi... La sivyo basi mtangazaji ajitahidi ku-stay on truck, sio kuhama hama kwa maswali mengi tofauti tofauti
Kwa kweli Mangula hana uwezo wa kuongea sana. Yaani naona Dr. Slaa kamfunika mbaya kabisa.
.Nimekaa na binti yangu mdogo sana tunaangalia kipindi cha uzalendo ambacho wasxhiriki ni Dr. Slaa na mzee Mangula yule wa mkoa mpya wa Njombe lakini katika kipindi hiki amesimama kama makamu mwenyekiti CCM Tanzania Bara.
Binti yangu kaniuliza: Baba, mbona yule baba anayeitwa Mangula akiulizwa maswali majibu yake siyo mazuri kama ya yule baba anayeitwa Dr. Slaa?
Kweli nimeshindwa kumjibu. Naombeni msaada: Nimjibuje jamani?