Nadhani unamjua mzee slaa jipange kwa hilo.Ukiibiwa mke jiulize kama wewe ni mwanaume kama wengine sio kulalamika
Nadhani unamjua mzee slaa jipange kwa hilo.Ukiibiwa mke jiulize kama wewe ni mwanaume kama wengine sio kulalamika
Amesema wakenya wanasema
bunge letu ni kama la wachungaji,mapadri na mashehe,mpaka zipiginwe
ndondi ndio liwe bunge kamili.
Akasema haki inapiganiwa.
Slaa huyo.
Dr Slaa is boring, the questions are open, but I don't why he's getting them wrong.
Probably thats because your mind is schizophrenic disturbed go for a medical check
Kumbe wewe ndiyo ben saa nane bora umejitambulisha mwenyewe bila hata kujitambua pole kwa kuwa rundo la id.hahahahaha una tumia ID mbili ile ya thatha tume kuona kituko...hii tuta kuona mpuuzi...
Najua kuwa unamtumikia slaa na humpendi zito lakini kaa ukijua zito ni kichwa zaidi ya babu.
Dr Slaa is boring, the questions are open, but I don't why he's getting them wrong.
Na wewe siku hizi ni kijakazi wa slaa? Wewe na ben nani mkubwa sasa.
Slaa mweupe sana upstairDr. Slaa kichwa tunaomba afanye mdahalo na Tusker
Nadhani unamjua mzee slaa jipange kwa hilo.
Nchi hii sijui nani
kailoga,sasa kuwahoji Mangula na Slaa kutaleta faida gani kwa taifa
hili,kwanza nani awasikilize??
Asilimia 75 ya Watz wapo vijijin huko wanasulubika na maisha,et
uzalendo..!!
Uzalendo kwenye TV??
Wastage of time resource...
We
growing wiser, are we just growing tall?
Kumbe na wewe ni mburula wa serikali mbili?Slaa hamna kitu kabisa kichwani. Yaani anashindwa kabisa kujibu maswali. Halafu eti ana PhD.
Soma kichwa cha habari! Mbona kinajieleza tu!Channel??
Mkuu kama na wewe ni mwanaCCM kama mimi hichi kipindi hakikufai, maana ukiona utaumia na kukatishwa tamaa na sikushauri uje kukiangalia.Nimekosa kipindi kizuri sana! Laiti ningetazama, ningeweza ku-comment kipi ni kipi! Si busara kuongea ushabiki! Marudio?
hv ni kwa nini chadema huwa mnapenda kutukana kuliko kujibu hoja, au ndiyo akili ya viroba na bangi inavyowatuma.
View attachment 105205
1:00 USIKU leo alhamisi Usikose kuangalia kipindi kipya kabisa cha UZALENDO kikuhusu mambo yanayojiri katika medani ya siasa nchini na waalikwa wakiwa wanasiasa kutoka vyama tofauti wakichambua hoja mbalimbali kuhusiana na hali inavyoendelea nchini.
Katika kipindi cha leo tutakuwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bwana Philp Mangula na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Wilbroad Slaa
slaa aache kuzungumzia udini kwa sbb mwenyewe na chama chake ni wadini
Poor CCM members,They simply don't know how to stop Dr Slaa.You know what?No matter what,We need Dr Slaa to clean up the mess you morons created.No one can do a better job than Dr Slaa,We need him at least for one term to lay some foundation down and then we give a second term to another patriotic politician to finish the lap off.