Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.
Hizo si ndio zake huyo babu. Ya makontena ya silaha iliishia wapi?

Amesahau kuwa tTanzania nzima inaendeshwa na CCM? ananshangaza!

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ni Rais Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete kwa niaba ya CCM.

Asichkielewa au msicho kielewa ni nini? misukule basi hapo itaona kaongea kitu cha maana kumbe anawachezea ufahamu wao.

Misukule hujua misukule wanzao. Hivyo kwa kuwa msukule huzaliwa na msukule hivyo basi mama na baba wa msukule nao ni misukule na ukoo mzima ni misukule na washirika wao katika vyama ni misukule. Hivyo basi msukule huyu katoka Chama Cha Misukule kwa kifupi hujulikana kama CCM.
 
Tunaomba kipindi kiongezwe dakika walau kiwe kama kile cha dakika 45 cha j3 ...Tafadhari sana uongozi wa ITV.
 
Nakereka na wasiojua kusoma, ITV sio TV
Tuliza akili yako japo kidogo, nilimuuliza mleta mada hakukamilisha post yake kuwa kipindi cha uzalendo kitakuwa hewani kwa TV gani au channel gani. Sasa wewe sijui unakereka na nini tena!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom