Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.
Shida ya ma pro cdm ukipngana nao wao wanaonaa matusi ndo solution! Wanafikiri watu wote ni mashabiki wa siasa
 
you might also be empty-headed without recognizing yourself. bavichaism has made most youth reluctant to conduct significant researches on key national issues! it has made them resort to writing no sense! shame on you bavicha!

You don't make any sense,Just go back to school and learn more english lessons to improve your english.Your cannot even make a proper english sentence!
 
Hiki kipindi kitanigombanisha na watoto na mama yao,kimewekwa muda wa ze comedy
 
You don't make any sense,Just go back to school and learn more english lessons to improve your english.Your cannot even make a proper english sentence!

Taratibu vidole na macho lugha ya watu hiyo jamani.
 
Shida ya ma pro cdm ukipngana nao wao wanaonaa matusi ndo solution! Wanafikiri watu wote ni mashabiki wa siasa
Mkuu wao matusi ndiyo asili yao make hata viongozi wao matusi kwao ni kawaida sana.
 
Poor CCM members,They simply don't know how to stop Dr Slaa.You know what?No matter what,We need Dr Slaa to clean up the mess you morons created.No one can do a better job than Dr Slaa,We need him at least for one term to lay some foundation down and then we give a second term to another patriotic politician to finish the lap off.

Kajifunze kiingereza kilaza weye usiye na haya wala aibu.

Wakati mwingine kama jambo hulielewi ni bora kukaa kimya kuliko kujifedhehesha na pengine kuwafanya wengine wakuelewe tofauti na walivyokuwa wanafikiri
 
Katika kipindi cha Uzalendo kilichorushwa leo na ITV,Makamu Mwenyekiti wetu wa CCM Tanzania Bara,Comrade Phillip Mangula hakupewa nafasi ya kutosha. Dr.Wilbrod Slaa ndiye hasa alikuwa ndiye mgeni mlengwa wa kipindi hicho.Maswali ya kufikirisha aliulizwa Dr.Slaa. Yale ya kawaida akaulizwa Mangula.Tena,Mangula akafinyiwa muda wake wa kujibu na wakati Fulani kusahaulika katika kutupiwa swali linguine. Kwanini imefanyika hivi? ITV nao ni CHADEMA. Tujue mapema.Kuna haja kwa chama chetu cha CCM kugomea ushiriki wa vipindi kama hivi. Laasivyo, chama kitaaibika kupitia vipindi hivi vya luninga. Tusishiriki midahalo ya aina yoyote ile. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Nadhani mzee Mangula hakuwa na vitu vingi vya kusema, eti chama chenu kinatekeleza sera, wapinzani ndio waongeaji.
 
Vuta ni kuvute mjanja sana , anataka CCM wakimbie mdahalo ili wazikwe rasmi
 
Mzee Vuta nikuvute, naona sasa umeshindwa kuvutia upande wa Lumumba ama wewe posho hupati? maana baada ya uchaguzi wa Arusha umebadilika sana
 
...aah mzee tbc mliichakachua fasta kwa kudhani inawabeba wapinzani kumbe sivyo,tatizo ni uwezo wa viongozi wenu na wala sio itv.kumbuka "the reward of good job is more work" kwakuwa dr anajulikana kwa kufanya vizuri basi anapewa muda zaidi maana wananchi wanahamu kusikia zaidi toka kwake...
 
kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi nasubili kwa hamu ccm wajanja sana wameamua kumleta mangula kwasababu wanajua yuko clean,kwa maoni yangu Dr.slaa hamuwezi mangula mangula aliwai kumwambia kikwete hufai kuwa raisi kwenye kikao zanzibar




Mzee naona unatoa za uso
 
mwanaizaya weye usiyelijua hili wala lile. Kazi kuramba mwiko kwa kutumia msongo wa pwani. Lizomeeni hiloooo

du sweety, yamekuwa hayo. menyewe kwa menyewe kitu gongana. buku 7 zinawapeleka kubaya
 
Katika kipindi cha Uzalendo kilichorushwa leo na ITV,Makamu Mwenyekiti wetu wa CCM Tanzania Bara,Comrade Phillip Mangula hakupewa nafasi ya kutosha. Dr.Wilbrod Slaa ndiye hasa alikuwa ndiye mgeni mlengwa wa kipindi hicho.Maswali ya kufikirisha aliulizwa Dr.Slaa. Yale ya kawaida akaulizwa Mangula.Tena,Mangula akafinyiwa muda wake wa kujibu na wakati Fulani kusahaulika katika kutupiwa swali linguine. Kwanini imefanyika hivi? ITV nao ni CHADEMA. Tujue mapema.Kuna haja kwa chama chetu cha CCM kugomea ushiriki wa vipindi kama hivi. Laasivyo, chama kitaaibika kupitia vipindi hivi vya luninga. Tusishiriki midahalo ya aina yoyote ile. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mkuu,

Kwanza nikushukuru maana ni ktk uzi huu ninajua cdm ilivyong'ara (niko mbali na luninga). Uzi mwingine umevamiwa na Lumumba wakaupotezea radha kabisa. Pili, naona unaanza kuwatendea haki magamba wenzio maana walishaanza kukutilia mashaka. Tatu, kusema ukweli sisiem hakuna tena mwenye ushawishi na ujasili wa midaharo. Na kama wapo itabidi wajivue akili zao za kawaida kama ambavyo Lukuvi na Nspe wamekuwawakifanya.
 
...aah mzee tbc mliichakachua fasta kwa kudhani inawabeba wapinzani kumbe sivyo,tatizo ni uwezo wa viongozi wenu na wala sio itv.kumbuka "the reward of good job is more work" kwakuwa dr anajulikana kwa kufanya vizuri basi anapewa muda zaidi maana wananchi wanahamu kusikia zaidi toka kwake...

maneno ya busara.
 
Poor CCM members,They simply don't know how to stop Dr Slaa.You know what?No matter what,We need Dr Slaa to clean up the mess you morons created.No one can do a better job than Dr Slaa,We need him at least for one term to lay some foundation down and then we give a second term to another patriotic politician to finish the lap off.

umenifurahisha sana mkuu , pamoja na kwamba leo nimefuturu maji matupu , lakini andishi lako limenifanya nijihisi nimefuturu mchemsho wa kuku !
 
Katika kipindi cha Uzalendo kilichorushwa leo na ITV,Makamu Mwenyekiti wetu wa CCM Tanzania Bara,Comrade Phillip Mangula hakupewa nafasi ya kutosha. Dr.Wilbrod Slaa ndiye hasa alikuwa ndiye mgeni mlengwa wa kipindi hicho.Maswali ya kufikirisha aliulizwa Dr.Slaa. Yale ya kawaida akaulizwa Mangula.Tena,Mangula akafinyiwa muda wake wa kujibu na wakati Fulani kusahaulika katika kutupiwa swali linguine. Kwanini imefanyika hivi? ITV nao ni CHADEMA. Tujue mapema.Kuna haja kwa chama chetu cha CCM kugomea ushiriki wa vipindi kama hivi. Laasivyo, chama kitaaibika kupitia vipindi hivi vya luninga. Tusishiriki midahalo ya aina yoyote ile. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Wewe siku ni mwanaccm?,halafu kabila ya mmiliki wa itv unaijua?,na asili ya chaga development manfesto(CHADEMA) unaifahamu?.tafakari chukua hatua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom