Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Mangula hakutoka nduki, kama wafanyavyo MAGAMBA wenzake?
we ---- nini,sema chanel mbwiga wewe!
Channel ipi mbona hamsemi na nyie?
Channel ipi mbona hamsemi na nyie?
Channel gani sasa? Au redio gani? Kuna watu dizaini kama hawajaenda skuli.
kweli mkuu, kama prof. Lipumba na jk ni wadini kama nn!slaa aache kuzungumzia udini kwa sbb mwenyewe na chama chake ni wadini