FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
aliongea hivyo. siyo siri slaa amepoteza muelekeo. babu kachoka! eti wabunge wapigane ngumi! hili ze linaitakia mabaya nchi yetu. limekaa kishari zaidi. aliulizwa. aliulizwa kuhusu siasa za chdm kuwa za kiharakati zaidi. hawaoni kuwa wanapotoka? akajibu siasa za ushindani ni vita na mapambano.....
Dah! inasikitisha sana. Ndio maana tunaona kila mikutano na maandamano yao vita haziishi. Huyu Mzee na wafuasi (misukule) wake ni hatari sana kwa amani ya Taifa.