Balantanda JF-Expert Member Jul 13, 2008 12,476 4,755 Oct 21, 2012 #61 Dakika ya 85 Mgambo JKT 0-0 Simba
M Masuke JF-Expert Member Feb 28, 2008 4,610 1,264 Oct 21, 2012 #63 Hapa nilipo hata sijielewi, hii timu inabidi tuibadilishe, kwa nini hawataki kufunga japo goli moja tu ili tulale vizuri.
Hapa nilipo hata sijielewi, hii timu inabidi tuibadilishe, kwa nini hawataki kufunga japo goli moja tu ili tulale vizuri.
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Oct 21, 2012 #65 hawa watoto mbona wabishi hivi?
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Oct 21, 2012 #66 Crashwise said: na leo imekula kwetu.. Click to expand... Mtani leo mnagonga miamba tu
Polisi JF-Expert Member Nov 22, 2010 2,082 640 Oct 21, 2012 #67 mwenye msimamo angalau tano bora baada ya sare hii ya simba
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Oct 21, 2012 #68 simba wanakosa goli la wa la wazi
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Oct 21, 2012 #69 Balantanda said: Dakika ya 85 Mgambo JKT 0-0 Simba Click to expand... Utashangaa dk.8 zinaongezwa
Polisi JF-Expert Member Nov 22, 2010 2,082 640 Oct 21, 2012 #70 mwenye msimamo angalau tano bora baada ya sare hii ya simba auweke hapa
Balantanda JF-Expert Member Jul 13, 2008 12,476 4,755 Oct 21, 2012 #71 Dakika ya 90 Mgambo JKT 0-0 Simba
Haliali JF-Expert Member Oct 1, 2012 574 263 Oct 21, 2012 #72 Crashwise said: ngoja ni sepe.. Click to expand... Pole sana
Mwita Maranya JF-Expert Member Jul 1, 2008 10,564 7,973 Oct 21, 2012 #73 Crashwise said: ngoja ni sepe.. Click to expand... We sepa tu kamanda hali ni tete, hizi dakika za lala salama wagambo wanaweza kuwapakata. Mkipata point moja mumshukuru sana Mungu.
Crashwise said: ngoja ni sepe.. Click to expand... We sepa tu kamanda hali ni tete, hizi dakika za lala salama wagambo wanaweza kuwapakata. Mkipata point moja mumshukuru sana Mungu.
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Oct 21, 2012 #75 Crashwise said: ngoja ni sepe.. Click to expand... Ukiona dk.30 za mwanzo simba hawajashinda ujue ndo ngoma droo 90 zimeisha
Crashwise said: ngoja ni sepe.. Click to expand... Ukiona dk.30 za mwanzo simba hawajashinda ujue ndo ngoma droo 90 zimeisha
Balantanda JF-Expert Member Jul 13, 2008 12,476 4,755 Oct 21, 2012 #76 Huyu dogo Edward Christopher ni mzuri kuliko Felix Sunzu, angeanza mapema angeweza kuwaletea Simba ushindi
Huyu dogo Edward Christopher ni mzuri kuliko Felix Sunzu, angeanza mapema angeweza kuwaletea Simba ushindi
Balantanda JF-Expert Member Jul 13, 2008 12,476 4,755 Oct 21, 2012 #77 Dakika ya 93 Mgambo JKT 0-0 Simba
Balantanda JF-Expert Member Jul 13, 2008 12,476 4,755 Oct 21, 2012 #78 Full Time Mgambo JKT 0-0 Simba
Mwita Maranya JF-Expert Member Jul 1, 2008 10,564 7,973 Oct 21, 2012 #79 Ni wazi kwamba Simba hana ubavu katika viwanja vya nje ya mkoa wa dsm. Na hapo bado hawajakwenda kanda yab ziwa. FT: MGAMBO JKT 0-0 SIMBA
Ni wazi kwamba Simba hana ubavu katika viwanja vya nje ya mkoa wa dsm. Na hapo bado hawajakwenda kanda yab ziwa. FT: MGAMBO JKT 0-0 SIMBA
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Oct 21, 2012 #80 Mpira umekwisha kikosi kazi cha fitina kimefanya kazi nzuri sana mkipongeze