Live: Mgambo v Simba - Uwanja wa Mkwakwani

Tisha-TOTO

JF-Expert Member
Feb 10, 2010
1,175
604
Leo ni nafasi ya Simba ama kuendelea kujikita kwenye kilele cha ligi au kuiweka rehani nafasi hiyo kwa Yanga wanaoonekana kuinyatia kwa kasi.

Tunaomba live updates kwa wale mnaongalia au kusikiliza mechi hii.

Mubarikiwe!!
 
nipo uwanjani elo jamani... Sasa hivi ni half time..
Tumewakosa kosa mara kibao..simba wana kadi mbili .simba wamepiga mashuti kibao sema ndio tumeshindwa kupata magoli.. Simba wanacheza kwa maelekezo ya walimu wanacheza vizuri sema mabeki central wanazingua sijaona penentration pass zikipigwa hapa ...foward leo ni butu inakatika hawapo makini labda kwa vile boban hayupo so lolote laweza kutokea kipindi kijacho.

Wanatakiwa watulie
Kaseja katoa magoli mawili ya wazi anatumia eneo lako vizuri, kaseja anajua sana.......
 
Seif Magali, lengo simba wasishinde leo

Naamini kikosi hicho hakiwezi kubadili matokeo ya uwanjani, kama kilishindwa kuifunga Simba Oktoba 3 leo kitawezaje kuifunga Simba kupitia Mgambo? Si uliona jana, licha ya Simba kuwa na kikosi hicho na kufanikiwa mwanzoni, hadi mwisho matokeo ya uwanjani yaliamua mshindi.
 
nipo uwanjani elo jamani... Sasa hivi ni half time..
Tumewakosa kosa mara kibao..simba wana kadi mbili .simba wamepiga mashuti kibao sema ndio tumeshindwa kupata magoli.. Simba wanacheza kwa maelekezo ya walimu wanacheza vizuri sema mabeki central wanazingua sijaona penentration pass zikipigwa hapa ...foward leo ni butu inakatika hawapo makini labda kwa vile boban hayupo so lolote laweza kutokea kipindi kijacho.

Wanatakiwa watulie
Kaseja katoa magoli mawili ya wazi anatumia eneo lako vizuri, kaseja anajua sana.......

Asante mkuu kwa half-time snapshot. Wengine hatuna access yo yote kwa sasa!
 
Back
Top Bottom