ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Mkuu hebu nipe msimamo wa pointi ukoje aisee
simba 9 19
azam 7 17
yanga 8 13
CUSC 8 13 ...
Mkuu hebu nipe msimamo wa pointi ukoje aisee
ngoja ni sepe..
labda tutashinda!Mechi ya ngapi sasa wanashindwa kuibuka na ushindi mfululizo? Ijayo mtatandikwa
Aaah, siyo mbaya! kumbe yanga wanahitaji mechi mbili ili watufikie? Bado tuna nafasi ya kufanya marekebisho.simba 9 19
azam 7 17
yanga 8 13
CUSC 8 13 ...
mashabiki mlionda simba kwa mkopo mtajulikana tu tena mapema
simba 9 19
azam 7 17
yanga 8 13
CUSC 8 13 ...
mtajijua wenyewe wazee wakuzamia...
Aaah, siyo mbaya! kumbe yanga wanahitaji mechi mbili ili watufikie? Bado tuna nafasi ya kufanya marekebisho.
Tumewatangulia mechi moja tu, mtuache pointi moja kwa hiyo ushajiridhisha kwamba sisi mechi inayofuata tutafungwa si ndio? Wenye ubavu wa kuongoza sa hivi ni Azam na sisi pia lakini nyie msubiri kidogo.Kijana usipende kumeza SUMU kirahisi namna hiyo,mechi 2 Yanga itakuwa imeshawaacha kwa point 1
yanga damuuu, naipenda yanga kwa moyo wote kwenye raha na shiba,. Yangaaaaaa
Acha ulevi wewe Yanga ana points 14
Ameshinda games 4 (Dhidi ya JKT Ruvu,African Lyon,Toto na Ruvu Shooting) = 12 Points
Ame'droo 2 (Dhidi ya Prisons na Simba).....................................................= 2 Points
Ametereza 2 (Dhidi ya Mtibwa na Kagera)..................................................= 0
Total........................................................................................................14 Points
Hiyo Yanga uliyoielezea hapo nahisi itakuwa ni Young Boys ya Chamazi
Tumewatangulia mechi moja tu, mtuache pointi moja kwa hiyo ushajiridhisha kwamba sisi mechi inayofuata tutafungwa si ndio? Wenye ubavu wa kuongoza sa hivi ni Azam na sisi pia lakini nyie msubiri kidogo.
Simba ni timu pekee ambayo haijafungwa msimu huu ... that's a fact!
Matokeo haya hapa chini hapo jana Jumamosi yalinifurahisha sana....
1. Yanga 3 Ruvu Shooting 2
2. Liverpool 1 Reading 0
3. Messi's hat-trick kwenye La Liga. Huyu bwana mdogo sasa amebakiza magoli 4 tu hadi end of 2012 kuifikia rekodi ya Pele ya mwaka 1959 ya kufunga magoli 75 in a calendar year!
Awesome achievement!!
Correct. Very.
Lakini kumbuka Simba inaweza kumaliza ligi kwa kutofungwa (kwa kutoa sare hovyo na vibonde kama hii ya leo na Mgambo) lakini ikaishia nafasi ya 3 au 4 ambayo bookmakers wameishatabiria tayari.
So, kuwa unbeaten hadi leo hakutaku-guarantee silverware!