SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,136
- 7,905
Dah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?
Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.
Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.
Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.