Live from LEO TUPO HAPA PUB

Live from LEO TUPO HAPA PUB

Hahaha...wameshindwa wengi sana!!!

Mtafute mtu mmoja anaitwa wakati ndio sasa akusimulie...

Mwambie mwambie.... " Hiki kisiki cha mpingo, wameshindwa wenye shoka. Unakuja na panga unajisumbua" Vin Diesel
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Jamani bado mpo, nataka kuja now...oh maamah nimeimiss govinda kumar! Asprin umenibakshia kontesa? Manake we babu kwa kubeba takeaway...ckuwezi
 
Last edited by a moderator:
Bora useme wewe...khaa!!!
Hivi mshatoka hapo???

kukataliwa kubaya! Wabaki unababaika! Wazomewa! Nawe wajidharaulisha bure! Hutakiwi hebu timua! Hebu rudi home haraka kuna ishu nataka unipe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom