Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
- What a Great thinkers, kwa muda mfupi niliokuwemo hapa nimegundua kuwa viongozi watano wa Tanzania wanapendwa sana hapa JF, nao ni Rais Kikwete, DK. Malecela, Mheshimiwa Lowassa, Mh. Rostam, na Mama kilango.
- Saafi sana wakuu tunakula elimu ya bure kwa pembeni wekeni elimu nzito hii kwa faida ya taifa.
William.
Kamanda
Can you rephrase this caption ......kupendwa nachukulia in a positive way...sasa RA, JK, EL please give me a breath....