William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
hiyo itakuwa safi san...wenzetu wa kenya ...hata wakiwa wabunge tu inatosha kuwafanya waandike VITABU...hata wasaidizi wa viongozi kule huandika vitabu...hapa tumelala sana..sijui ni uvivu wa kusoma....nadhani kuna idara serikalini ya vielelezo ingetakiwa pia iwe mstari wa mbele kuweka vielelezo kwa faida ya baaadaye......
wanaotaka kuandika kitabu cha mwalimu[true story] pia watakuwa hawajachelewa kwani bado mkewe yupo hai na watu waliofanya naye kazi kwa karibu!!!
- Unajua mkuu bado tuna safari ndefu sana Tanzania na mambo ya uwazi, maana wazee wengi wanaogopa kuwaudhi walioko kwenye power sasa hivi na kungaliwa vibaya na jamii, iwapo watasema some ugly truth katika experience zao na uongozi wa siasa za taifa letu, inasikitisha sana, lakini ninaamini one thing kwamba akishatokea mmoja akawatangulia wengine na kukubalika na jamii, basi utaona watakavyojitokeza.
- Subira kidogo inavuta heri.
FMES!